Kanuni ya mabano kwenye magazijuto ina fanya kazi tu kwa vitu vilivyopo ndani ya mabano siyo nje ya mabano ...ukisha kukokotoa vilivyopo ndani ya mabano hapo kinachofuatia ni GAWANYA kisha ZIDISHAKama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.
Bumbumbumbumbumbumb7mbumbumbu over hadi mnadai calculator imekosea nyinyi wote watatu mnao pongezana mnashaili tunzo ya umbumbumbuKama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.
Kama nyinyi siyo mambumbumbu nataka mnipe logic ya BODMAS kwanini ilibuniwa kwanini imepangiliwa kwa .pangilio huo je waliamua tu au kuna sababu ...kwanini mabano yatangulie gawanya na kwanini gawanya itangulie zidisha ...kama uwezi kujua sababu basi jua ndiyo maana ujui kwanini hiyo hesabu inafanyika hivyo ...kwanini isiwe MAZITOJUGA au ZIMAGAJUTO NK . kwanini MAGAZIJUTO? ukiweza kufahamu sababu basi msingekuwa unabisha upumbavu na kubishana kipumbavuScientists/mathematicians hawapo hivyo, kwanza sio waongeaji sana. Atakaa kwenye mfumo wa kistaarabu hana namna.
According to you tubadili MAGAZIJUTO NA KUITA MABGAJUTO kwanini hiyo dhana ya block isinge pachikwa ndani ya neno magazijuto kuwa MABGAJUTO ?Kama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.
Mtu bila ya kofia ni 5 hivyo kofia ni 2
44 ❌️
X=120⁰✅️
Faida sh1300-900=faida400
Eeeh.!! Mahi umeamua kurudi shule na vitendea kazi 😹😹😹
1300-900=400 faida
42yrs