Math challenge

Math challenge

Sema muandikaji aeleweki hiyo ni g au ni "9" kama ni "g" basi jibu ni 2 na kama ni 9 basi jibu ni 9
Mshana Jr njoo utuambie kwenye ili swali ni 9 au g

8=56
6=30
4=12
?
Mimi mwanzo niliona kama ni 9 hivi jibu nikapata 9 lakini nilivyoangalia tena nikaona kama g hivi, nikaweka 2., hahaha!
 
Sema muandikaji aeleweki hiyo ni g au ni "9" kama ni "g" basi jibu ni 2 na kama ni 9 basi jibu ni 9
Mshana Jr njoo utuambie kwenye ili swali ni 9 au g

8=56
6=30
4=12
?
Ile ni tarakimu ya 9 kwakuwa mtiririko wote hauna herufi
 
Ile ni tarakimu ya 9 kwakuwa mtiririko wote hauna herufi
Ok basi jibu ni 9 ila ilo swali lingeweza kuboreshwa na kuwa tamu zaidi kwa kufanya mambo mawili
Moja ...kupandisha ilo swali kwa kwenda juu pia hapo chini ingekuwa ni herufi tu yaani
X=y yaani hiyo 9 isinge kuwepo lingekuwa gumu zaidi.
10 =90
8 =56
6 =30
X = Y
Tafuta thamani ya
X=?
y=?
Mshana Jr
 
Ok basi jibu ni 9 ila ilo swali lingeweza kuboreshwa na kuwa tamu zaidi kwa kufanya mambo mawili
Moja ...kupandisha ilo swali kwa kwenda juu pia hapo chini ingekuwa ni herufi tu yaani
X=y yaani hiyo 9 isinge kuwepo lingekuwa gumu zaidi .
Sawa sawa ..!
 
Sawa sawa ..!
Some thing like this
Ok basi jibu ni 9 ila ilo swali lingeweza kuboreshwa na kuwa tamu zaidi kwa kufanya mambo mawili
Moja ...kupandisha ilo swali kwa kwenda juu pia hapo chini ingekuwa ni herufi tu yaani
X=y yaani hiyo 9 isinge kuwepo lingekuwa gumu zaidi.
10 =90
8 =56
6 =30
X = Y
Tafuta thamani ya
X=?
y=?
Mshana Jr
 
Today morning challenge
Can you SOLVE this __#math (4).jpeg
 
Back
Top Bottom