Math challenge

Math challenge

Hii nimeipenda sana💪🏿😂
5c148567-fde7-44e2-a214-15ae0317375b.jpeg
 
HIVI KATI YETU KUNA MWALIMU HAPA KWELI MAANA AJABU JF WATU UJIFICHA FANI ZAO NA KAZI ZAO ...MIMI SIYO MWALIMU NILIISHIA LA 7 NIKASOMA SEC SIKU 100 TU
 
Swali lako haliko wazi. Ungeonesha hiyo area, kwa kuweka kivuli, la sivyo unamaanisha tutafute the surface area, ambayo itajumuisha na area of the rectangle .
Umekosea hskuna rectangle hapo
 
HIVI KATI YETU KUNA MWALIMU HAPA KWELI MAANA AJABU JF WATU UJIFICHA FANI ZAO NA KAZI ZAO ...MIMI SIYO MWALIMU NILIISHIA LA 7 NIKASOMA SEC SIKU 100 TU
Siku 100 ukaona unapoteza muda mkuu? 😁
 
HIVI KATI YETU KUNA MWALIMU HAPA KWELI MAANA AJABU JF WATU UJIFICHA FANI ZAO NA KAZI ZAO ...MIMI SIYO MWALIMU NILIISHIA LA 7 NIKASOMA SEC SIKU 100 TU
Hakuna wa kukuambia profession yake hapa, wewe changamsha tu ubongo mkuu
 
Back
Top Bottom