ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Mchekeshaji marufu wa vichekesho nchini wa kundi la zecomedy ambaye anasumbuliwa na ugonjwa unaodaiwa kushambulia sehemu za kichwa.unaomtesa mpaka sasa baada ya kuka chumba cha ICU takribani miezi miwili afya yake imezolota sana tunaiomba serikali imuangalia nae aende nchini india akapate matibabu.je nani hajui mchango wake katika nchi hii