Shukrani mkuu, pale Ni zaidi ya utumwa!!Hatari sana. Kama uliowataja wasipokiona kilio chako, Mhe. Mwigulu Nchemba anaweza pia kufikisha kwenye vikao vyao vya utendaji na waziri mwenye dhamana akachukua hatua stahiki. Poleni sana.
Mahakamani vigumu kupata haki wake jamaa wanahela sanaaaMimi najiulizaga ivi kuna hajjagani ya kuwaitamkuu WA wilaya WA mkoa Kwa mahakama zina maana gani kwenye hii nchii
Tunapitia mateso Sana, Tena SanaaDah,Kama ni kweli,huu ni ujinga na upuuzi kabisa Yani nchi yetu lakini bado tunahenyeshwa kama wageni...
Naam, ndo hicho hicho mkuu,Hiki si ndio like kiwanda kilichofungwa kutokana na mazingira mabovu ya kufanyia kazi kilichosababisha vifo vya wafanyakazi wawili? Kilifunguliwaje tena kabla ya hayo mazingira kurekebishwa? Na hili la wafanyakazi kupigwa limekaaje? Huu ni utumwa kwa kigezo Cha uwekezaji
Siyo kupigwa tu wanapigwa na kunyimwa haki zao, unapigwa na kufukuzwa kazi na stahiki zako hupatiWatu wanapigwa kazini?
Walio jaribu wengine wameishia kufungwa, kuwekwa ndani kwa makosa ya kutungwaKuna wakati jitahidini mfanye kitu ili wawe na heshima kwa watanzania.....
Ni kweli kabisa!! Mateso makubwa lkn ugumu wa maisha unafanya watu wakomae humo humoTtizo linakuja m2 anaona akiacha kazi atapat kazi kwengin wap lakin weng wanaumia sana kweny viwanda.
Ndo wanaotuumiza Sana, watu wanatakiwa kusaidia Ila wao wanaamua kuwa upande wa watesi yaani wachinaWasaidiwe na nani?
Asili ya "Ngozi Nyeusi" ni UBINAFSI.
Sio kwamba wahusika hawafahamu shida za wafanyakazi wa kitanzania kwenye viwanda kama hivyo, nakuhakikishia wanajua kwa asilimia 100 ila hawachukuliwi hatua yoyote sababu hawajali madhila yanayowakuta either sababu ni kwamba They don't care( haiwaongezei wala kuwapunguzia chochote) au ni kwamba wanapewa pesa kukaa kimya (Ubinafsi).
Huu ndio ukweli mchungu.
Ni zaidi ya utumwa mkuumbona ina sound kama slavery
Kwani ambaye aliekuwa anaonekana mchawi sini Magufuli ambaye hayupo kwa sasa? Wacha nchi ifunguliwe ushenzi uendelee hichi ndicho ambacho CCM inakipenda ufisadi na ushetani na uonevu kwa wananchi huku kundi dogo likineemeka na bakshishiHiki si ndio like kiwanda kilichofungwa kutokana na mazingira mabovu ya kufanyia kazi kilichosababisha vifo vya wafanyakazi wawili? Kilifunguliwaje tena kabla ya hayo mazingira kurekebishwa? Na hili la wafanyakazi kupigwa limekaaje? Huu ni utumwa kwa kigezo Cha uwekezaji
Mkuu tupo awamu ya 4B kwa sasa, ushenzi umepewa baraka zote na serikali iliopo madarakani!Ndo wanaotuumiza Sana, watu wanatakiwa kusaidia Ila wao wanaamua kuwa upande wa watesi yaani wachina
Watanzania kujitoa muhanga wanaonaga ni swala la watu flani tu wao haliwahusu na kwa unafiki unaweza ukajitoa muhanga ila shukurani zao itakuwa ni vijembe na kejeli tu na kuitwa kiherehere😅Ttizo linakuja m2 anaona akiacha kazi atapat kazi kwengin wap lakin weng wanaumia sana kweny viwanda.
Serikali dhalimu haki utaipata vipi ukiwa huna hela? Haki ipo kwa mwenye pesa tu hapa nchiniWalio jaribu wengine wameishia kufungwa, kuwekwa ndani kwa makosa ya kutungwa
Mkuu ni ubinafsi mim ndo maana huwez niambia mambo ya uzalendo nikakuelewaWasaidiwe na nani?
Asili ya "Ngozi Nyeusi" ni UBINAFSI.
Sio kwamba wahusika hawafahamu shida za wafanyakazi wa kitanzania kwenye viwanda kama hivyo, nakuhakikishia wanajua kwa asilimia 100 ila hawachukuliwi hatua yoyote sababu hawajali madhila yanayowakuta either sababu ni kwamba They don't care( haiwaongezei wala kuwapunguzia chochote) au ni kwamba wanapewa pesa kukaa kimya (Ubinafsi).
Huu ndio ukweli mchungu.
Shida mzee kuna watu wamesota kutafuta ajira za kueleweka hawaoni mwanga wanaamua kujitosa huko.Najiuliza, ni shida au kutojitambua ndio kinachopelekea haya !!??