FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
- Thread starter
- #61
Habari za asubuhi list inaendelea kuongezeka tunakaribia watu 25.mpaka sasa kiongozi yoyote wa chama hajapita hapa ombi langu wenye nia ya kweli kufanikisha hili jambo tupeleke makao makuu halafu tuone kama watalichukulia hatua zaidi.