Fred
Hongera kwa wazo zuri, ingawa bado linahitaji maboresho ya hapa na pale, but generally hongera sana kwa kutimiza wajibu wako kwa kuhakikisha CHADEMA na mapambano kwa ujumla yanatimiza lengo la kutoa utumishi bora kwa umma, lengo ambalo ili litimie, historia ya nchi hii inapaswa kuongezwa kurasa kadhaa zitakazosema kuwa CCM kiliwahi kutawala mwaka fulani mpaka mwaka fulani...
Kutokana na majukumu kadhaa yaliyonibana kwelikweli sikuwahi ku comment mapema ingawa niliona kilichoandikwa mapema sana na kufuatilia mjadala baadae kwa kina. Kwa ajili ya kuangalia tunasonga namna gani mbele, hasa kwa ku-incorporate wazo hili katika plans zinazofanana na hiki kitu ili sasa viwe under same umbrella kwa ajili ya efficiency na effectiveness, nitaku PM wewe na wengine ambao nimefuatilia mchango wao hata kama ni kwa kuweka alama ya 'like', hata wale waliopinga au kuponda pia.
Lakini pia ili kurahisisha mambo, fanya hivi 0688 595831, hata kama ni usiku wa manane.
Tutalizungusha hili gurudumu na kulifikisha tunakofikiria na kuona kwenye ndoto zetu mchana na usiku, iwapo tu kila mmoja wetu atatimiza wajibu wake kama ulivyofanya Kamanda Fred na kama wanavyofanya wengine kwa namna mbalimbali, ikiwemo critiques and constructive criticism.
Kila mmoja wetu anacho cha kuchangia katika mapambano haya na mchango wa kila mmoja wetu utathminiwa kadri inavyotakiwa, kama si leo basi kesho au keshokutwa kwenye kurasa za historia ambayo inaendelea kuandikwa kila kila sekunde inayopita. Baadae nitaweza kujadili kwa kina baadhi ya mambo ambayo si lazima sana kupelekeana PM.