ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,477
- 126,725
Ntapike nini na yanakua matamu na moto moto lol....😉😉😉😉😉😉😉😉
waonekana kuyapenda kweli weye...yale ya moto moto yale...lolest!!
Ntapike nini na yanakua matamu na moto moto lol....😉😉😉😉😉😉😉😉
UmenichefuuuuaHuwa mara nyingi najiuliza na pengine wapo ambao watakuwa na swali kama langu, kwa wale waliooa, inapokuja kwenye suala la kushiriki mapenzi na hata kitendo cha kubusiana huwa mke na mume wanashirikiana hata kushare mate na wala hakuna anayeena vibaya au kichefuchefu, lakini je iwapo mkeo au mumeo akiamua kutema mate kwenye kikombe au kijuko na kukwambia uyalambe, sidhani kama kuna mtu atakubali kufanya hivyo wakati mate ni yaleyale, sijui wengine mnaonaje?
waonekana kuyapenda kweli weye...yale ya moto moto yale...lolest!!
sijui nini kimenileta hapa.
nimetapika
Ahhaahhahahaha bhana wee usintafute saa hizi😛😛😛😛😛😛
Watu wanaenda hadi uvinza ya 0712 sembuse mateeee.?!
yakishatoka nje huwa yanakuwa na bakteria, kiafya sio mazuri
Mwambie huyo hajui
teeh..naona wadhungu wamelala na hutaki kuwaamsha sa hizi..lol
Duh mkuu..Mate yanashewa yakiwa mdomon na cyo sehem nyingine.hata uvinza unaingia ukiwa umefumba macho.
Mate yanashewa yakiwa mdomon na cyo sehem nyingine.hata uvinza unaingia ukiwa umefumba macho.
Mipasho milazo au michalazo?