CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Kwanza niipongeze serikali kwa kutoa vishikwambi kwa walimu, Kuna ufanisi na urahisi Fulani wa kazi umeongezeka katika shughuli za kujifunza na ufundishaji..
mpaka Sasa nimekutana na zaidi ya vishikwambi 10 vya walimu hususani "PRITOM 10 MAX"
Na nimeona matatizo karibu sawa kama ifuatavyo..
1. Kugoma kuwaka... Kuna ambavyo Hadi leo havijawahi kuwaka Ile power button ni kama haifanyi kazi kabisa.
2. Kupoteza network.. hili limekuwa common yaani ghafla tu kishikwambi ni NO SERVICE na hata maeneo Yale Yale ambayo mwanzo ulikuwa unapata mtandao
3. Kugoma kusoma line, hapa pia Kuna vingine line mpaka urudie rudie kuweka kama mara 5 hivi ndio ikubali ..
4. Camera mbovu.. usitegemee kupiga document kwenye camera ya kishikwambi ikatoka inasomeka... Sahau
Hayo ni matatizo ambayo walimu wengi wamekutana nayo..
Lakini kwa upande mwingine viko poa kwenye...
1. Kukaa na chaji.. hapa Sina neno.
2. Inaruhusu kasi ya 4g na kwenye net hakina shida
3. Gb 60+ storage sio haba kuweka mafaili n,k
Asante
mpaka Sasa nimekutana na zaidi ya vishikwambi 10 vya walimu hususani "PRITOM 10 MAX"
Na nimeona matatizo karibu sawa kama ifuatavyo..
1. Kugoma kuwaka... Kuna ambavyo Hadi leo havijawahi kuwaka Ile power button ni kama haifanyi kazi kabisa.
2. Kupoteza network.. hili limekuwa common yaani ghafla tu kishikwambi ni NO SERVICE na hata maeneo Yale Yale ambayo mwanzo ulikuwa unapata mtandao
3. Kugoma kusoma line, hapa pia Kuna vingine line mpaka urudie rudie kuweka kama mara 5 hivi ndio ikubali ..
4. Camera mbovu.. usitegemee kupiga document kwenye camera ya kishikwambi ikatoka inasomeka... Sahau
Hayo ni matatizo ambayo walimu wengi wamekutana nayo..
Lakini kwa upande mwingine viko poa kwenye...
1. Kukaa na chaji.. hapa Sina neno.
2. Inaruhusu kasi ya 4g na kwenye net hakina shida
3. Gb 60+ storage sio haba kuweka mafaili n,k
Asante