wakuu habari zenu,napenda kuleta ka uzi haka kwenu ili nipate mualobaini wa matatizo haya yahusuyo sd card.ninatumia simu huawei y 530 pia nina sd card 8 GB,tatizo ni kuwa nasumbuliwa sana na setting pindi niwekapo sd card as default inakubali lkn ninapoendelea kutumia baada ya muda yaweza chukua masaa hata siku hiyo setting hujibadirisha na kuwa ktk internal storage.hapo awali sikua na tatizo kama hilo nilipokua natumia 4GB sd card ambayo ilijifia humo humo kwenye hiyo simu wakati Nina delete files and transfer ed. ombi langu nini kifanyike ili niondokane na usumbufu huu?
asante nawasilisha.
chief mkwawa
asante nawasilisha.
chief mkwawa