Serikali na mashirika takriba yote yamajaa ufisadi na huduma mbovu, ni sehemu ya machinjiyo pekee kuna huduma safi na hakuna ufisadi, wa Tanzania lazima tujivunie na sehemu hiyo.
Tukiwaachia ndugu zetu Wenyetamaa za maisha, watoe huduma hiyo kama wanavo ng'nga'nia, naamini kabisa ufisadi, uchafu, utapeli na Maradhi yatarindima machinjioni, msije shangaa mkaanza kulishwa:
Punda,
Farasi,
Mbwa,
Manyani
nk.
Tumeyaona huko Ulaya sasa nyama haziliki tena, wenyeji wote wananunua HALAL Meat toka Bucha za Waislam kwa sababu ya watu hawa waliokosa maadili, wenye tamaa ya maisha wanaoweka mbele pesa walivyo haribu soko la Bucha.
Wewe unawaamini ?
Waislamu wa Singida na Dodoma wengi wao hula nyama ya punda, hapo unasemaje? Waislamu hula nyama ya ngamia na kunywa maziwa ya ngamia, kwa wakristo hilo ni jambo gumu, hapo pia unasemaje? Waislam wa Chechina-Usoviet huko wao hula vyura nadhani, hilo unalionaje? Waislamu wa Pemba wao hula popo, hilo pia limekaaeje? Waislam wa Mtwara hula panya....