Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Waislamu wa Singida na Dodoma wengi wao hula nyama ya punda, hapo unasemaje? Waislamu hula nyama ya ngamia na kunywa maziwa ya ngamia, kwa wakristo hilo ni jambo gumu, hapo pia unasemaje? Waislam wa Chechina-Usoviet huko wao hula vyura nadhani, hilo unalionaje? Waislamu wa Pemba wao hula popo, hilo pia limekaaeje? Waislam wa Mtwara hula panya....
Haya ni maoni yako ! Hata Kingwendu anayo !