Matamko ya CCT NA PCT kuhusu kuchinja

Matamko ya CCT NA PCT kuhusu kuchinja

Status
Not open for further replies.

Omulangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
1,036
Reaction score
267
Katika misiba ya watumishi wa Mungu Mch Mathayo Kachira Buselesele na Askofu Thomas Laizer Arusha matamko mawili ya mabaraza ya wakristo yaani CCT na PCT yametolewa yakiweka wazi msimamo wa jamii ya wakristo kuwa kuanzia sasa wakristo watachinja kitoweo chao. Kwa vile sasa imeonekana suala la waislamu kuchinja ni ibada yao, wakristo hawatashiriki katika ibada isiyo wahusu.

Jambo hili ni muhimu tulifikiri na kujadili mapema maana linaamua mustakabali wa jamii ya watanzania. je hotel zitakuwa labelled kama zina nyama iliyochinjwa kiislamu au kikristo? Na vipi katika sherehe za pamoja zitakuwepo buffet mbili moja ya nyama iliyochinjwa na waislamu na nyingine wakristo? Naona media zinajitahidi jambo hili lisizungumzwe wala kutangazwa maana tv zote tangu jana zinakwepa kulizungumzia. Mimi naona hii ni hatari zaidi!!!

 
Waislam wachinje wauziane . Wakristu wachinje wauziane tuone nani atakufa njaa sasa .Kiburi itakuwa wazi .Wakituita kwenye sherehe zao tukienda tunakula na wakija kwetu hawachinji tutachinja wenyewe wale sawa wasile poa .
 
Hata vyombo vya habari vikikwepa kulizungumzia haitasaidia kwani tamko kama hili linapotolewa, nakala hupelekwa kwa viongozi wote wa makanisa wa madhehebu yote nao huwapelekea taarifa wakristo wote kama sehemu ya mahubiri ktk ibada.
 
Serikali na mashirika takriba yote yamajaa ufisadi na huduma mbovu, ni sehemu ya machinjiyo pekee kuna huduma safi na hakuna ufisadi, wa Tanzania lazima tujivunie na sehemu hiyo.

Tukiwaachia ndugu zetu Wenyetamaa za maisha, watoe huduma hiyo kama wanavo ng’nga’nia, naamini kabisa ufisadi, uchafu, utapeli na Maradhi yatarindima machinjioni, msije shangaa mkaanza kulishwa:

Punda,
Farasi,
Mbwa,
Manyani
nk.

Tumeyaona huko Ulaya sasa nyama haziliki tena, wenyeji wote wananunua HALAL Meat toka Bucha za Waislam kwa sababu ya watu hawa waliokosa maadili, wenye tamaa ya maisha wanaoweka mbele pesa walivyo haribu soko la Bucha.
Wewe unawaamini ?
 
Serikali na mashirika takriba yote yamajaa ufisadi na huduma mbovu, ni sehemu ya machinjiyo pekee kuna huduma safi na hakuna ufisadi, wa Tanzania lazima tujivunie na sehemu hiyo.

Tukiwaachia ndugu zetu Wenyetamaa za maisha, watoe huduma hiyo kama wanavo ng'nga'nia, naamini kabisa ufisadi, uchafu, utapeli na Maradhi yatarindima machinjioni, msije shangaa mkaanza kulishwa:
Punda,
Farasi,
Mbwa,
Manyani
nk.
Tumeyaona huko Ulaya sasa nyama haziliki tena, wenyeji wote wananunua HALAL Meat toka Bucha za Waislam kwa sababu ya watu hawa waliokosa maadili, wenye tamaa ya maisha wanaoweka mbele pesa walivyo haribu soko la Bucha.
Wewe unawaamini ?
 
Ni sahihi na haki endapo kutakuwaepo na bucha za imani tofauti na kuwekwa lebo ya bidhaa kwa imani husika. Hakuna swala la imani moja kuwa bora na haki kuliko nyingine. Uharamu au uhalali sharti utokane na sheria za nchi na sio mazoea au ubabe.
 
Serikali na mashirika takriba yote yamajaa ufisadi na huduma mbovu, ni sehemu ya machinjiyo pekee kuna huduma safi na hakuna ufisadi, wa Tanzania lazima tujivunie na sehemu hiyo.

Tukiwaachia ndugu zetu Wenyetamaa za maisha, watoe huduma hiyo kama wanavo ng’nga’nia, naamini kabisa ufisadi, uchafu, utapeli na Maradhi yatarindima machinjioni, msije shangaa mkaanza kulishwa:
Punda,
Farasi,
Mbwa,
Manyani
nk.
Tumeyaona huko Ulaya sasa nyama haziliki tena, wenyeji wote wananunua HALAL Meat toka Bucha za Waislam kwa sababu ya watu hawa waliokosa maadili, wenye tamaa ya maisha wanaoweka mbele pesa walivyo haribu soko la Bucha.
Wewe unawaamini ?

Mkuu ufisadi,tamaa ya pesa na maadili duni havitokani na dini ya mtu. Mnaita nguruwe halamu na wakati hapa jijini nyie ndo walaji wakubwa, mbona wakati wa kula sijawahi sikia mkiuliza mchinjaji? Mtu mzma unafiki haukufai kwani ni dhambi kuliko kula nguruwe mwenyewe unavo mfikiria.
 
Media za nchi hii zinakasoro kiasi kwamba sasa hata viongozi wa bunge wanafikiri kuficha uoza wao ndio kutatufanya tuwaamini. Hakuna hata media moja imeeleza nini kilijiri kwenye matukio ya mazishi ya Beseresere, badala yake wako buzy kukava matukio ya maandamano ya waislamu Dar. Ni ajabu sana!
Ni tukio lililoleta viongozi wote wa Kikristo kutoka madhebu yote ya Kikristo Mkoa wa Mwanza. Kagera, Shinyanga, Kigoma na kwingineko na wote wakiwa na msimamo mmoja!
Yaliyotokea jana kwenye maziko ya yule mchungaji ni historia nyingine katika ukristo. Nchimbi alifukuzwa na rambi rambi zake asishiriki mazishi hayo. Mkuu wa mkoa wa Mwanza pia alifukuzwa asishiriki yeye na rambi rambi zake alilazimika arudi mjini Mwanza na mkuu wa wilaya pia kafukuzwa na rambi rambi zake. Wote walitakiwa au walikane tamko la wasira au waondoke. Waliamua kuondoka. Tamko ni lile lile kuchinja lazima wakristo tuchinje nyama yetu wenyewe bila kuchinjiwa na mtu yeyote na bila kulazimishwa kula nyama zilizochinjwa na waislamu maana kwa sasa tumegundua kuwa tunalishwa vitu biblia inatukataza! Kula nyama na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu mingine!
Kama mkristo. Sintakula nyama iliyochinjwa na asiye mkristo tena.
 
Katika misiba ya watumishi wa Mungu Mch Mathayo Kachira Buselesele na Askofu Thomas Laizer Arusha matamko mawili ya mabaraza ya wakristo yaani CCT na PCT yametolewa yakiweka wazi msimamo wa jamii ya wakristo kuwa kuanzia sasa wakristo watachinja kitoweo chao. Kwa vile sasa imeonekana suala la waislamu kuchinja ni ibada yao, wakristo hawatashiriki katika ibada isiyo wahusu.

Jambo hili ni muhimu tulifikiri na kujadili mapema maana linaamua mustakabali wa jamii ya watanzania. je hotel zitakuwa labelled kama zina nyama iliyochinjwa kiislamu au kikristo? Na vipi katika sherehe za pamoja zitakuwepo buffet mbili moja ya nyama iliyochinjwa na waislamu na nyingine wakristo? Naona media zinajitahidi jambo hili lisizungumzwe wala kutangazwa maana tv zote tangu jana zinakwepa kulizungumzia. Mimi naona hii ni hatari zaidi!!!
Mods naomba msiiondoe thread hii!

Nawashuruku wazazi wangu kwa kutokuwa wafuasi wa S.A.W. Maana hilo kundi lina inferiority complex. Hata kitabu chao wanachoamini hakuna sehemu inayosema wao ndio watu pekee wanaoruhusiwa kuchija humu Duniani sasa cha kushangaza taka taka ya hoja hiyo wanatoa wapi sasa!!! Stupid.
 
Katika misiba ya watumishi wa Mungu Mch Mathayo Kachira Buselesele na Askofu Thomas Laizer Arusha matamko mawili ya mabaraza ya wakristo yaani CCT na PCT yametolewa yakiweka wazi msimamo wa jamii ya wakristo kuwa kuanzia sasa wakristo watachinja kitoweo chao. Kwa vile sasa imeonekana suala la waislamu kuchinja ni ibada yao, wakristo hawatashiriki katika ibada isiyo wahusu.

Jambo hili ni muhimu tulifikiri na kujadili mapema maana linaamua mustakabali wa jamii ya watanzania. je hotel zitakuwa labelled kama zina nyama iliyochinjwa kiislamu au kikristo? Na vipi katika sherehe za pamoja zitakuwepo buffet mbili moja ya nyama iliyochinjwa na waislamu na nyingine wakristo? Naona media zinajitahidi jambo hili lisizungumzwe wala kutangazwa maana tv zote tangu jana zinakwepa kulizungumzia. Mimi naona hii ni hatari zaidi!!!
Mods naomba msiiondoe thread hii!



Mi nitakula nyama yoyote ili mradi imechinjwa na binadamu. Je, akichinja mkristo au mwislamu, harufu yake au dini au imani yake inakuwa sehemu ya ile nyama? Hili jambo tunalichukulia kuwa ni la maana sana. Kweli imani imegeuka kuwa dili kwa baadhi ya watu.

Kweli wakristu tumebatizwa ktk imani ya kikristo lakini tumegezwa mafala na baadhi ya watu wanaofaidika kupitia watu wengine. Ni lini kwa mara ya kwanza tumegundua/baini kuwa nyama ikichinjwa na mwislamu mlaji anakuwa mwislamu au ikichinjwa na mkristo, mlaji atakuwa mkristo.

Ukristo wetu haupo ktk nyama ila ktk mahusiano na Mwokozi wetu Yesu Kristo, haijalishi umekula nini maana ni Yeye mwenyewe ktk Biblia alinena kuwa kikuingiapo mwilini hakikufanyi kuwa najisi bali kikutokacho. Mfano rahisi: Kuona mwanamke akipita uchi hakikufanyi kuwa umetenda dhambi bali pale sasa utakapoamua kumfuatilia na kuanguka dhambini.

Tuache utapeli wa kutumia jina la Kristo vibaya. Na swali: Je, ikichinjwa na mpagani/asiye na dini inakuweje? Na je, ikichinjwa na malaya au kahaba, tunapokula nyama hiyo, tunakuwa makahaba?
 
Nawasihi watanzania tununue nyama kokote. Yeyote atakayechinja tule tu, Mbona vyakula vinapopikwa hatuulizi kapima mtu wa dini gani? Jamani tunakoelekea ni kubaya.
 
Wilbrod Slaa


Uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa Taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.

 
inayosema wao ndio watu pekee wanaoruhusiwa kuchija humu Duniani sasa cha kushangaza taka taka ya hoja hiyo wanatoa wapi sasa!!! Stupid. Kwani kuchinja c kukata shingo au kutenga kichwa na mwili? Hata mi naweza kwa nini mnaumiza vichwa? Sala zenu na dua zenu zinatusaidia nini cc tuco na dini? Mnajifanya mnafanya ibada mbona kiroho hana tofauti na cc? Toeni upuzi wenu. Hamwoni jinc serikal dhalimu inavyo wagawa ili kuwakanadamiza?
 
Tukiwaachia kuchinja kama kawaida yenu, mtaanza tama na kutuchinjia manyani, punda na wanyama wengine wenye madhara ya binadamu . nyie hamuaminiki, machinjioni kuko salama mkiingia huko mtapeleka ufisadi. nawakemea!
 
Swala hapa ni kuchinja tu wala c dua wala sala hawa wanochinja hawana cfa ni wenye dhambi kama mie toeni ujinga hapa. Hata mi nachinja na mtakula tu njaa hana jamaa.
 
Tukiwaachia kuchinja kama kawaida yenu, mtaanza tamaa na kutuchinjia manyani, punda na wanyama wengine wenye madhara ya binadamu . nyie hamuaminiki, machinjioni kuko salama mkiingia huko mtapeleka ufisadi. nawakemea!
 
Katika misiba ya watumishi wa Mungu Mch Mathayo Kachira Buselesele na Askofu Thomas Laizer Arusha matamko mawili ya mabaraza ya wakristo yaani CCT na PCT yametolewa yakiweka wazi msimamo wa jamii ya wakristo kuwa kuanzia sasa wakristo watachinja kitoweo chao. Kwa vile sasa imeonekana suala la waislamu kuchinja ni ibada yao, wakristo hawatashiriki katika ibada isiyo wahusu.

Jambo hili ni muhimu tulifikiri na kujadili mapema maana linaamua mustakabali wa jamii ya watanzania. je hotel zitakuwa labelled kama zina nyama iliyochinjwa kiislamu au kikristo? Na vipi katika sherehe za pamoja zitakuwepo buffet mbili moja ya nyama iliyochinjwa na waislamu na nyingine wakristo? Naona media zinajitahidi jambo hili lisizungumzwe wala kutangazwa maana tv zote tangu jana zinakwepa kulizungumzia. Mimi naona hii ni hatari zaidi!!!
Mods naomba msiiondoe thread hii!


Hapa wahusika wote hawana budi kujifunza toka mkoa wa Dar es Salaam walitatueje jambo hili. Miaka michache iliyopita kundi la "Biblia ni Jibu" walitoa mhadhara kwa lengo la kufundisha somo la kuchinja baina ya waislam na wakristo huko katika machinjio ya Vingunguti na baadaye katika machinjio ya Kimara.

Kwa mujibu wa mafundisho yao kuchinja hakuna haki ya kundi moja kwa mujibu wa Biblia na Quroan.b Hivyo, wote ni wachinjaji.

Asiye mkiri Yesu kwamba ni mwana wa Mungu huyo ni KAFIRI kwa mujibu wa Biblia, na Biblia inamkataza mkristo kula nyama ya mnyama aliyesongolewa damu kwa miungu mingine.kwa hiyo kafiri hawezi kulazimisha ibada yake kwamkristo, hali kadharika, kwa muislamu asiyeamini na kuswali kwa mungu Allah huyo ni kafiri.
 
Hii ya kuchinja Ng'ombe imekaa zaidi ya kimaslahi ya biashara kwa mchinjaji zaidi ya kidini, pande zote mbili!
Ila suluhisho dogo sana:
Usile nyama kama haujui imechinjajwe, kama Wayahudi! Wanahudhuria sherehe za watu wa mataifa ila hutakaa umuone akila nyama.
Tena ukiona mtu design ya kizungu ambaye si vegetarian ila anakataa nyama politely, jua huyo ni Myahudi.
Waislamu na Wakristu tujifunze hiyo ya Wayahudi.

Personally, I don't give a f*ck nani kachinja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom