Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,889
- 37,857
- Thread starter
- #21
Yule alishahama na nchi Kama sijakoseaWakina balabou hawapo kwenye list
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule alishahama na nchi Kama sijakoseaWakina balabou hawapo kwenye list
Ova
Shabiby ni wa Gairo huyoShabiby
Mwanamke unakuta ni mama yakeYaani sijaona hata mwanamke,
Au ndo mnatajaga mume mtu kumuwakilisha mke?
Mafanikio mengi ya mwanaume kuna mwanamke makini nyuma.
Nimemkumbuka huyu jamaa kitambo sana, awamu ya tatu ya serikali mwishoni mwishoni ndio alikuwa kwenye peak na kampuni yake ya TIOT, wakati huo pia wana timu ya soka ya Moro United, Maulidi Kitenge akimuhoji kwenye kipindi cha michezo radio one anamtambulisha kama "Merey Balhabou Abramovich". Maisha haya.Wakina balabou hawapo kwenye list
Ova
Gairo ni kichaka chake ila investment zake nyingi zipo moro manispaa..Shabiby ni wa Gairo huyo
Ahh naye kawekeza eeh?Mbona hujamtaja RPC?
Pale msamvu geti LA kutokea Kuna maghorofa na hotel kubwa Sanaa ni vyake..
Jamaa kafanikiwa kuwachota akili 'Wakaguru'Kaporomosha bonge la gorofa pale Msamvu, ambalo itakuwa hotel. Kaifunika kabisa zile hotel zingine...
Mafanikio mengi ya mwanaume kuna mwanamke makini nyuma.