Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,891
- 37,866
Hope mpo na amani na tumaini la kufukia kilele cha mafanikio.
Wakati tukiendelea kupambana ili kufikia matarajio yetu Kuna wenzetu ambao ama kwa juhudi zao au za waliowatangulia wameweza kufikia walao hatua nzuri, basi kwetu tunaotazamia kufikia huko wao wana baki Kama kioo kwetu.
Wakati fulani niliwahi kuishi mkoa wa Morogoro pale manispaa, niliweza kushuhudia watu ama kampuni au familia walio matajiri kwa kiasi chake.
Naomba niwaorodheshe hapa japo sio kwa mtiririko sahihi, wawe Kama marejeo kwa wapambanaji.
Azizi Abood
Taji Mohammed
Omar Awadh
Islaam family
All Sayed
Ladwa
Hood family
BM au Makundi
Focas Munish
Epafras Meela
Machare
Christian Munish au Mashikao
Kihanga
Hare Kihongos
.
.
.
Orodha itaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati tukiendelea kupambana ili kufikia matarajio yetu Kuna wenzetu ambao ama kwa juhudi zao au za waliowatangulia wameweza kufikia walao hatua nzuri, basi kwetu tunaotazamia kufikia huko wao wana baki Kama kioo kwetu.
Wakati fulani niliwahi kuishi mkoa wa Morogoro pale manispaa, niliweza kushuhudia watu ama kampuni au familia walio matajiri kwa kiasi chake.
Naomba niwaorodheshe hapa japo sio kwa mtiririko sahihi, wawe Kama marejeo kwa wapambanaji.
Azizi Abood
Taji Mohammed
Omar Awadh
Islaam family
All Sayed
Ladwa
Hood family
BM au Makundi
Focas Munish
Epafras Meela
Machare
Christian Munish au Mashikao
Kihanga
Hare Kihongos
.
.
.
Orodha itaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app