Matajiri wa Kiislamu Jengeni Vyuo Vikuu

Status
Not open for further replies.
lakini mbona wanajenga?
kuna chuo cha keko Madrassatul
Buguruni malapa madrassatul n.k au mna maanisha vuo vya elimu ya juu??
 
lakini mbona wanajenga?
kuna chuo cha keko Madrassatul
Buguruni malapa madrassatul n.k au mna maanisha vuo vya elimu ya juu??

Universities, nafikiri mweka mada alikuwa na maana hiyo. Ila wanongoza kwa mad'rasat na dhuoni, sasa sijui udhuoni nini maana yake. Kumbuka wanaitwa wana madhuoni. lolz
 
Matajiri wa Kiislaam wanachangia sana kwenye elimu, lakini hawapendi kujionesha kuwa wanafanya hivyo, hufanya hivyo si kwa ajili ya kujionesha kwa wanaadam wengine, hufanya hivyo kutokana na mafundisho yao yanawaasa watoe bila kujitangaza.

Hata hivyo, zipo habari za waislaam zinazonaswa na vyombo vya habari, kwani waandishi wa habari ni watu mahiri sana katika fani zao, mfano hii hapa:

By ROSE ATHUMANI, 22nd November 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 588

PROMINENT Dar es Salam businessman Mr Mustafa Sabodo plans to construct a teacher training college in Mtwara Region.

Donating a bus on Monday to Sabodo Secondary School of Mtwara, the businessman also promised to hire Mathematics, Science and English teachers from India for the school.

Mr Sabodo will also pay salaries for the foreign teachers for one year. Handing over the bus worth 44,800 US dollars to Ms Hawa Ghasia who is the Member of Parliament of Mtwara Rural, Mr Sabodo said the process for construction of the teachers training institution has begun; experts are now at the designing stage.

Ms Ghasia said the businessman has so far contributed more than 1.2bn/- to the secondary school which comprises dormitories, classes and a dispensary.


Source: Daily News | Sabodo plans a teacher training college
 
Matajiri wa Kiislaam wanachangia sana kwenye elimu, lakini hawapendi kujionesha kuwa wanafanya hivyo, hufanya hivyo si kwa ajili ya kujionesha kwa wanaadam wengine, hufanya hivyo kutokana na mafundisho yao yanawaasa watoe bila kujitangaza.

Hata hivyo, zipo habari za waislaam zinazonaswa na vyombo vya habari, kwani waandishi wa habari ni watu mahiri sana katika fani zao, mfano hii hapa:

By ROSE ATHUMANI, 22nd November 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 588

PROMINENT Dar es Salam businessman Mr Mustafa Sabodo plans to construct a teacher training college in Mtwara Region.

Donating a bus on Monday to Sabodo Secondary School of Mtwara, the businessman also promised to hire Mathematics, Science and English teachers from India for the school.

Mr Sabodo will also pay salaries for the foreign teachers for one year. Handing over the bus worth 44,800 US dollars to Ms Hawa Ghasia who is the Member of Parliament of Mtwara Rural, Mr Sabodo said the process for construction of the teachers training institution has begun; experts are now at the designing stage.

Ms Ghasia said the businessman has so far contributed more than 1.2bn/- to the secondary school which comprises dormitories, classes and a dispensary.


Source: Daily News | Sabodo plans a teacher training college

Mkuu hizi bado ni mawazo. Kesha jenga?
 
CONCLUSION..
hakuna tajir mwenye kujenga chuo kikuu TANZANIA COZ 99% NI MAJAMBAZ.. ILLITERATE NA WANAFIKI PLUS UCHAWIIIIII
 
Waislam tanzania hawana chombo cha kuratibu maendeleo ktk huduma za jamii!bakwata imewekwa na nyerere kuwa ni chombo cha ulinzi wa UWT yaani ipo kisiasa na si utendaji!hata taasisi zingine zinapojitokeza kujenga hosp au shule bakwata hutumiwa na serikali kuivunja!waislam wataendelea pindi mapinduzi yatakapofanyika kama yale ya FAT kuwa TFF
 
Waislam tanzania hawana chombo cha kuratibu maendeleo ktk huduma za jamii!bakwata imewekwa na nyerere kuwa ni chombo cha ulinzi wa UWT yaani ipo kisiasa na si utendaji!hata taasisi zingine zinapojitokeza kujenga hosp au shule bakwata hutumiwa na serikali kuivunja!waislam wataendelea pindi mapinduzi yatakapofanyika kama yale ya FAT kuwa TFF

...na BALUKTA kwanini ilifutwa?
 
Mkuu hizi bado ni mawazo. Kesha jenga?

Hiyo bado kama ulivyosoma lakini shule ya sekondari tayari, hii ilikuwa ni kuonesha kuwa matajiri wa Kiislaam wanafanya aliyoyaomba mtoa mada.
 
Hiyo bado kama ulivyosoma lakini shule ya sekondari tayari, hii ilikuwa ni kuonesha kuwa matajiri wa Kiislaam wanafanya aliyoyaomba mtoa mada.

Mimi nilifiri mtoa mada kasema Vyuo Vikuu, au
 
Mimi nilifiri mtoa mada kasema Vyuo Vikuu, au

Nimemuelewa vizuri sana, bado kwa sasa, toka kile cha mwanzo ambacho kilizuiliwa na Nyerere kilikuwa kijengwe na EAMWS, kwa sasa tuna vyuo vikuu vya kiislaam sio vya individually na tajiri mmoja mmoja bali na taasisi za kiislaam kama vile H. H. The Agakhan University, Morogoro Islamic University na soon Al Muntazir University.

Mtoa mada katoa wazo zuri ingawa si la mwanzo au si kuwa halifanyiwi kazi na Waislaam, linafanyiwa sana kazi na InshaAllah tutakuwa na Universities za Kiislaam iwe za matajiri au za institutions.

Si rahisi kwa matajiri pekee kuanzisha na kuendeleza vyuo vikuu, tumeona pale Bagamoyo kuna tajiri (nadhani Zakaria) amejenga chuo kikuu cha Kiislaam lakini nadhani tatizo ni kukiendesha kwa ufanisi, University si majengo pekee bali mfumo mzima wa uendeshaji wa chuo ndio muhimu zaidi na kwa matajiri individuals wa Kitanzania ni wazi kabisa bado hatujafikia kiwango cha tajiri kujenga, kukihudumia na kukiendesha chuo kikuu, lakini tutafika. Kwa hili sidhani hata kama kuna matajiri ambao si wa kiislaam Tanzania ambao wamefanya hivi, kama yupo simjui naomba nifahamishwe.
 
Maskini ndugu zangu hao hujisahau na ata wakipewa uongozi wanawaangusha wale wanaowateua mfano UDOM wanataka kukifanya chao, wanatumia majina ya viongozi wakuu wa nchi kufanya siasa zao chafu na kupandikiza chuki. Ni hatari kwa taifa changa kama hili kuwa na mambo ya udini au ukabila. Maprofesa wananyanyasana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya dini zao, watu wanakomoana kwa sababu za udini,watu wanaweka elimu zao kando kwa sababu ya dini, Angalieni msitupeleke Rwanda na burundi, kila binadamu ana mwisho wa uvumilivu na tusipimane uwezo
 
Maskini ndugu zangu hao hujisahau na ata wakipewa uongozi wanawaangusha wale wanaowateua mfano UDOM wanataka kukifanya chao, wanatumia majina ya viongozi wakuu wa nchi kufanya siasa zao chafu na kupandikiza chuki. Ni hatari kwa taifa changa kama hili kuwa na mambo ya udini au ukabila. Maprofesa wananyanyasana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya dini zao, watu wanakomoana kwa sababu za udini,watu wanaweka elimu zao kando kwa sababu ya dini, Angalieni msitupeleke Rwanda na burundi, kila binadamu ana mwisho wa uvumilivu na tusipimane uwezo

Kweli kabisa, inafaa tujifunze kutokana na makosa yaliyofanywa na hawa:

Pastor jailed for role in Rwandan church genocide


A Rwandan pastor became the first church leader to be convicted of genocide by a UN tribunal yesterday when he and his son were found guilty of helping to massacre ethnic Tutsis.

source: Pastor jailed for role in Rwandan church genocide - Africa, World - The Independent


Na hapa pia:

The 1994 rwandan genocide, killing an estimated 800,000 tutsis and moderate hutus, is made even more incomprehensible by the documented participation of many representatives of rwandan church societies. How could god fearing nuns, and even a bishop, take part in the most cruel crimes against humanity committed on african soil? even worse, several church societies allegedly were co-responsible for the growing hatred that led to the genocide. It remains an enormous contradiction to the christian message of love.

Archbishop augustin nshamihigo and the coadjutor bishop of kigali, jonathan ruhumuliza, were seen describing the government responsible for orchestrating the genocide as "peace-loving" at a nairobi press conference in early june 1994. The accusations against clergy of the free methodist, presbyterian, baptist and seventh-day adventist churches are equally shocking.

According to survivors, bishop aaron ruhumuliza, head of the free methodist church in gikondo, kigali, helped the militia carry out a massacre in his own church on 9 april 1994. Michel twagirayesu, the president of the presbyterian church of rwanda and a former vice-president of the world council of churches, is alleged to have worked closely with the killers in the presbyterian stronghold of kirinda, kibuye, betraying parishioners and fellow-clergy alike, according to a report by african rights.

Members of the rwandan roman catholic church have long been suspected of assisting the genocide. The church had close links with the hardline hutu leadership accused of organising the killings.

In 2001, two nuns were convicted of helping massacres by a belgian court and a priest, athanase seromba, is currently on trial before the un war crimes tribunal in tanzania, where he is accused of ordering the killing of 2,000 people who sought shelter in his church.


Story from
rwandan nun guilty of helping genocide - times online

afrol rwanda background - the cross and the genocide

source: The involvement of Christian societies in the Rwandan genocide - Mashada Forums
 
Nimemuelewa vizuri sana, bado kwa sasa, toka kile cha mwanzo ambacho kilizuiliwa na Nyerere kilikuwa kijengwe na EAMWS, kwa sasa tuna vyuo vikuu vya kiislaam sio vya individually na tajiri mmoja mmoja bali na taasisi za kiislaam kama vile H. H. The Agakhan University, Morogoro Islamic University na soon Al Muntazir University.

Mtoa mada katoa wazo zuri ingawa si la mwanzo au si kuwa halifanyiwi kazi na Waislaam, linafanyiwa sana kazi na InshaAllah tutakuwa na Universities za Kiislaam iwe za matajiri au za institutions.

Si rahisi kwa matajiri pekee kuanzisha na kuendeleza vyuo vikuu, tumeona pale Bagamoyo kuna tajiri (nadhani Zakaria) amejenga chuo kikuu cha Kiislaam lakini nadhani tatizo ni kukiendesha kwa ufanisi, University si majengo pekee bali mfumo mzima wa uendeshaji wa chuo ndio muhimu zaidi na kwa matajiri individuals wa Kitanzania ni wazi kabisa bado hatujafikia kiwango cha tajiri kujenga, kukihudumia na kukiendesha chuo kikuu, lakini tutafika. Kwa hili sidhani hata kama kuna matajiri ambao si wa kiislaam Tanzania ambao wamefanya hivi, kama yupo simjui naomba nifahamishwe.
Hubert Kairuki Memorial University, Dar es Salaam
 

Vizuri sana, ni mfano wa kuigwa.

The Mission Mikocheni Health and Education Network (MMHEN), established Hubert Kairuki Memorial University (HKMU), initially as Mikocheni International University (MIU), in 1997. MIU's name was changed to Hubert Kairuki Memorial University (HKMU) following the untimely demise of its founder, the late Prof. Hubert Kairuki in 1999, who was also the institution's first Vice Chancellor. The second Vice Chancellor appointed to lead the institution was Prof. Esther Mwaikambo, also an accomplished medical scholar and practitioner. The current Vice Chancellor is Prof. Keto Mshigeni, a highly accomplished world renown scientist.

The ownership of HKMU is vested in MMHEN, a private company, limited by guarantee, not having share capital and incorporated in Tanzania, established for the provision of health and education services. The University is registered as a Trust under The Trustees Incorporation Ordinance (CAP 375). It is headed by a Chancellor, currently His Excellency, Dr. Salim Ahmed Salim, a member of the African Union's Committee of the Wise.
 
haijakaa vizuri hiyo kaka, utaleta udadisi mwingi kwa htread yako. Kwa ujumla waislamu wanatakiwa kubadilika. Mara zote kaka wanatoka nyuma. Redio, seminaries etc... Sijui kama hata wana Tv kwa sasa, lakini madhehebu mengine yameshapita huko. Binafsi nadhani kuna haja ya kuangalia usomi pia katika kupata viongozi.

Nilikuwa napita tu!!!!!!!!!!!!
 
Hiyo bado kama ulivyosoma lakini shule ya sekondari tayari, hii ilikuwa ni kuonesha kuwa matajiri wa Kiislaam wanafanya aliyoyaomba mtoa mada.
Mkuu usidhani kila anaeitwa Abdalah au Hamisi ukadhani ni muislamu! hawa wana dini zao tembelea mitaa ya kisutu ndio utajuwa Wahindi ni dini gani.
wewe inaonekana hata yule aliekuwa makamu wa Rais wa Saddam Hussein anaitwa Tareq Azizi utasema ni muislamu kumbe hujui hayo ndio majina ya watu wa maeneo ya Uarabuni. Hakuna majina ya kiislamu dunia hii. hili nina uhakika haulijui. na hata Augustino Ramadhani ni mkristo muanglican.
 
Mkuu usidhani kila anaeitwa Abdalah au Hamisi ukadhani ni muislamu! hawa wana dini zao tembelea mitaa ya kisutu ndio utajuwa Wahindi ni dini gani.
wewe inaonekana hata yule aliekuwa makamu wa Rais wa Saddam Hussein anaitwa Tareq Azizi utasema ni muislamu kumbe hujui hayo ndio majina ya watu wa maeneo ya Uarabuni. Hakuna majina ya kiislamu dunia hii. hili nina uhakika haulijui. na hata Augustino Ramadhani ni mkristo muanglican.

Mkuu asante kwa kutuelewesha. Mfano hilo jina la Augustino Ramadhani alikuwa mkristo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom