pisces
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 240
- 61
<br />haijakaa vizuri hiyo kaka, utaleta udadisi mwingi kwa htread yako. Kwa ujumla waislamu wanatakiwa kubadilika. Mara zote kaka wanatoka nyuma. Redio, seminaries etc... Sijui kama hata wana Tv kwa sasa, lakini madhehebu mengine yameshapita huko. Binafsi nadhani kuna haja ya kuangalia usomi pia katika kupata viongozi. <br />
<br />
Nilikuwa napita tu!!!!!!!!!!!!
<br />
Huko ni kupita au unafik wa kike??