elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Yani walivyo wasengerema hawaja demand military base ya USA iondolewe wana demand ya Turkey.hao,mume wao marekani alitaka kuuza silaha kwa qatar tu,manake baada ya show ya urusi syria kila mtu anataman silaha zake,sasa mume kishauza muda si mrefu kila kitu kitakua poa