hilo umeshalisema, panua kidogo wigo wako wa matusi. Ukweli huuma, unakuja na vi concept vyako vya "hot button" issues za nchi nyingine halafu mtu anakuja ku spoil the orgy of falsehood kwa kueleza ukweli, kwamba issues hizo hazileti political split Tanzania, lazima uchukie, halafu kama uwezo wako wa kutegemea clutches za emotions basi duu, upeo wako unakuwa exposed.... basi kweli kwenye majuha wewe ndio juha wa mwisho.