Elections 2010 Maswali Yangu Kwa Dr. Wilbrod Slaa

Huo ndo ushabiki wa hisia usio na kichwa wala miguu. Watu kama nyie ndo mtaji wa CCM. Waombe radhi Great thinkers kwa huu uchafu uloutuma humu.
 


Mzee Ngabu;
Looks like your statement was intended to read as follows, in order for you to convey the proper meaning to the auudience:
Whether they are in a conversation or not, there are 'hot button issues' that/which are controversial, bound to trigger AN intense emotional reaction from people.

Mazee, hayo juu uliyoandika kusahihisha ni bonge la mchapio. Ngabu was right!
 
Nina tumai kwamba Jamiiforums inatekeleza dhana yake ya – WE DARE TO TALK OPENLY, kwa vitendio, na kwahiyo basi waratibu wake hawatafuta maswali yangu kwa wagombea Urais wa Chadema, CUF, na CCM. Mimi kama raia na mpiga kura katika nchi yangu nina haki ya kujibiwa maswali na wagombea moja kwa moja au kupitia wasaidizi wao ilimradi hayavunji sheria, kanuni na heshima. Ntaanzia na mgombea wa Chadema, Mheshimiwa Dr. Slaa.

Dr. Slaa, nafasi ya uongozi ngazi ya Uraisi ni nafasi nyeti, yenye maamuzi mazito ambayo wakati mwingine yanakinzana na suala la dini. Kwa mfano dini ya kikristo hairuhusu kulipiza visasi – haitakiwi ulipize ubaya kwa ubaya. Kama tukikupa Urais wan chi yetu, ikitokea nchi yetu ya Tanzania ikavamiwa na maaadui, tukikuchagua Dr Slaa kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, je kama amiri jeshi mkuu wetu, utaweza kutoa ruhusa nchi yetu iende vitani kutetea maslahi, mipaka na haki zetu watanzania?

Pili, hakuna shaka kabisa kwamba serikali ya Jakaya Kikwete imesimamia kwa mafanikio makubwa sana suala la mauaji ya walemavu wa ngozi yani ALBINO. Dr. Slaa, je, tukikuchagua uwe Rais wetu wa Tanzania, ikija fikia suala la kufanya maamuzi ya kuizinisha wauaji wanyongwe, utakuwa tayari kusimamia death penalty, mfano kuizinisha wauaji wa albino wanyongwe? Utaziteteaje Haki za ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yani Albino? utazisimamiaje?

Mwisho tunafahamu fika ni jinsi gani Jakaya Kikwete alivyoweza kuwa kiongozi mvumilivu na asiye hamaki. JK ni mvumilivu sana, kwa mfano likija suala la vyombo vya Habari ambapo tumeona jinsi gani magazeti mbali mbali yanavyomchafua, ameyapa uhuru sana licha ya kuwa na uwezo wa kuyabana kikatiba. Je, Dr. Slaa wewe ni mvumilivu na usie na hamaki? Kuna mifano dhairi kutoka kwa wajumbe wa kamati yako ya Bunge jinsi gani ulivyokuwa mtu wa kuhamaki, hasira, kuzira na kung’ang’ania mawazo yako ndiyo yasikilizwe na yawe ya mwisho. Je, unatuelezea nini juu ya suala hili? Kuna ukweli kuhusu suala hili?

Haya ni baadhi tu ya maswali ambayo mimi na watanzania wengine nadhani katika kipindi hiki tutakuwa tunakuuliza wewe na wagombea wa vyama vingine mara kwa mara ili tujiridhie kabla hatujafanya maamuzi mgumu ya kumpigia mgombea katika nafasi ya Urais Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania. Nina matumaini makubwa sana kwamba waratibu wa Jamiiforums hawatafuta maswali haya. Naomba kutoa hoja.
umesema unataka kuuliza viongozi wa CUF,CCM na CHADEMA,,mbona maswali yote umeelekekeza kwa kumgombea mmoja,,inavyoonekana umetumia ujanja ili kumnadi unayemshabikia,kwamba akufukuzaye hakwambii toka,,ni njia tu ili kumkandamiza mgombea fulani,,,nyerere alisema viongozi hawatakiwi kutumia mawaidha ya dini zao au ushauri wa wake zao kuiongoza nchi bali kiongozi ataingoza nchi kwa kutumia SHERIA,,Ndivyo atakavyofanya DR SLAA.

mimi sijapenda ulivyotufanya sisi kama ni wachache wa akili tusiligundue hilo...man WE NEED CHANGES KWA AJIRI YA MAENDELEO YA WANAJAMII WOTE NA SIO KWA WACHACHE..siku zote maji yanayotembea ndiyo salama na safi,,maji yaliyotulia hukusanya wadudu na kuwa si mazuri tena kwa afya ya binadamu.

Asante.
 
Mijitu mingine bwana, hata shule za kata hawatoi watu kama hawa! somebody come from no where anaanza kuropoka kama mlevi wa matapu tapu. Anyway, before you post your thread, kumbuka kuna watu wanakazi zao hapa, you waste our time reading your nonesense. Hatukatai kuwa wewe ni ccm lakini jaribu kutoa facts ambazo utatushawishi tukuone you are really a member of JF.

Inabidi tuanze kuwafanyia interview watu kama ninyi.
 
Mazee, hayo juu uliyoandika kusahihisha ni bonge la mchapio. Ngabu was right!
Mi nilicheki nikasema ngoja Ngabu mwenyewe aje.....huwezi jua labda jamaa kaamua kumchokoza tu!! si unajua JF watu wanavyopenda ligi:violin:
 
Dr slaa, ivi wewe hauoni hata haya kwa Taifa zima na kufanya utapeli wa kisiasa haiwezekani? wewe umeshindwa kuliongoza jimbo leo unataka tukupe nchi? hii ni hali ya hatari kwenye nchi yetu kuwa na viongozi kama hawa Dr slaa umeshindwa kufuata maadili ya dini utaweza kufuata maadili ya nchi? kama uliweza kufanya ujuma katika kazi yako uliyokuwa nayo ya kiroho iweje leo uwadanganye watanzania? unajambo gani la kutueleza kama Taifa ili lilkusomesha na kuweza kupata elimu yako ya juu ya dini iweje leo uje kwenye siasa usitudanganye kwamba umeweza kuliacha jimbo na kutafuta nafasi ya urahisi kutokana na hali hii wew hautoshi kabaisa kama umeshindwa kuongoza jimbo je/ utawezakjea kuongoza nchi?

Karibu jukwaani, yaani hawa waliojiandikisha August hii wametumwa kuja ku,neutralize mambo!! Ila hapa huwa tunatenda haki tu, unapoleta hoja ni lazima iwe na uhakika usiopingika not just kurusha maneno au matusi ambayo hayana msingi. Post hapa documents zinazotupa uhakika wa hayo niliyobold. Tofauti na hapo, huu ni usanii tu. Ni mojawapo ya kampeni zisizo za kiistaarabu. For sure aliyekutuma anaogopa sana jukwa hili maana ni vumbuzi la mambo mengi, tena mengine huwa tunaona ni hatari kuyaanika hapa. Bisha!

Kwa taarifa yako mapadre hawasomeshwi na serikali. Wana seminary zao zenye viwango, waalimu wao. i.e full equiped!! Sema basi hata makanisa yamejengwa na serikali!!! Tafakari kwanza kabla hujabonyeza keyboard yako.



 
Dr slaa, ivi wewe hauoni hata haya kwa Taifa zima na kufanya utapeli wa kisiasa haiwezekani? wewe umeshindwa kuliongoza jimbo leo unataka tukupe nchi? hii ni hali ya hatari kwenye nchi yetu kuwa na viongozi kama hawa Dr slaa umeshindwa kufuata maadili ya dini utaweza kufuata maadili ya nchi? kama uliweza kufanya ujuma katika kazi yako uliyokuwa nayo ya kiroho iweje leo uwadanganye watanzania? unajambo gani la kutueleza kama Taifa ili lilkusomesha na kuweza kupata elimu yako ya juu ya dini iweje leo uje kwenye siasa usitudanganye kwamba umeweza kuliacha jimbo na kutafuta nafasi ya urahisi kutokana na hali hii wew hautoshi kabaisa kama umeshindwa kuongoza jimbo je/ utawezakjea kuongoza nchi?

Soon hii thread itapelekwa kunako, na usipokuwa makini nawe utapelekwa kunako. Kuna sheria zinazolinda jukwaa hili.
 
Naona una wiki moja tu tangu umejiunga. Kwanza karibu jukwaani. Pili kabla hujaendelea kuweka post nyingine jukwaani, rudi kajifunze kwanza namna ya kutoa hoja na kuipangilia kama great thinker. Ulichokiandika hapa wewe mwenyewe unakielewa? Una hoja gani hapo? Inaelekea wewe ni mkurupukaji, na una visa vyako tu, huwezi kukurupuka tu na kuanza kusema fulani ni tapeli bila kusema amemtapeli nani? Huwezi kusema fulani hafai au anafaa bila kusema ni kwanini? Wala huwezi kuwashawishi watu kwamba Dr Slaa hafai bila kutoa sababu za msingi. Tafadhari rudi shule kajifunze namna ya kutoa hoja.

NDUGU WANA JF.
Huyu jamaa tusimpuuze hata kidogo, tena mawazo kama haya tuyapokee, maana sisi Great thinkers ni watanzania na hawa wenzetu ni wale WADANGANYIKA
HAYA ndo mawazo yanayotupeleka katika wimbi la umasikini na ufisadi uliokithiri leo hii. Pia ndiyo mawazo ya watu wengi wanaolala njaa lakini hawajui kwanini.
Kifupi mtu kama huyu anahitaji kueleimishwa tu, TUNAHITAJI MABADILIKO., TUENDAKO NI KWA WACHACHE MNO!!!!!

Najaribu kupita mitaani na kufuatilia watu mbalimbali naona kuwa mawazo yao bado tuko mbali na maendeleo ya kweli kwa kukumbatia sisiem inayowakumbatia wacheche hasa watu wa nje kuliko sisi wazawa.

Tuwaeleze kuwa Slaa hajashindwa kuendesah Jimbo, Kweza kwa 100%, na anaendela mbele!!!!!!!

God Bless Dr, slaa mtanzania wa kweli kama Mwalimu aliyebaki katika wachache
 
Mwandishi umenifurahisha sana kwa sababu kajaribu kuandika kideini zaidi japo unajifanya umejificha lakini ulipojificha ni tranparent kwa hiyo werevu tumekuona..........nasikitika huwezi kumuuliza dr.slaa atashughulikia vp mafisadi na rushwa kwa ujumla kwani unajua alivyo kwamba hahitaji swali maana jibu liko wazi....ila kwa ajili ya interest zako na za ccm na mafisadi ndiyo maana umejaribu kuuliza utumbo zaidi
nashukuru jile kwa kuliona hilo na kuliweka wazi,,watu wanafiki kama hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo.halafu afadhali ingekuwa ni post kwa wasio na akili timamu,,sisi tunaakili timamu,,atatupakaje mafuta kwa mgongo wa chupa,,hata kama ni maswali kwa Dr slaa,,hii inahusika vipi na kumsifia kikwete..tafadhali kaka mtoa post hii,sisi watanzania wa sasa hatutaki kurudishwa nyuma,,tunataka kusonga mbele,,kama unataka kurudi nyuma,,naomba chukua hatua wewe peke yako na umsimshawishi mwingine kwa maneno hayo matupu yasiyokuwa na tija uende ukatumbukie shimoni peke yako..

ni afadhali kuwa si upande wowote kuliko kuwa upande uliouchagua.

asante.
 
Mijitu mingine bwana, hata shule za kata hawatoi watu kama hawa! somebody come from no where anaanza kuropoka kama mlevi wa matapu tapu. Anyway, before you post your thread, kumbuka kuna watu wanakazi zao hapa, you waste our time reading your nonesense. Hatukatai kuwa wewe ni ccm lakini jaribu kutoa facts ambazo utatushawishi tukuone you are really a member of JF.

Inabidi tuanze kuwafanyia interview watu kama ninyi.
safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana,,hata mimi nakusaport mkubwa.
 
Nina tumai kwamba Jamiiforums inatekeleza dhana yake ya – WE DARE TO TALK OPENLY, kwa vitendio, na kwahiyo basi waratibu wake hawatafuta maswali yangu kwa wagombea Urais wa Chadema, CUF, na CCM. Mimi kama raia na mpiga kura katika nchi yangu nina haki ya kujibiwa maswali na wagombea moja kwa moja au kupitia wasaidizi wao ilimradi hayavunji sheria, kanuni na heshima. Ntaanzia na mgombea wa Chadema, Mheshimiwa Dr. Slaa.

Dr. Slaa, nafasi ya uongozi ngazi ya Uraisi ni nafasi nyeti, yenye maamuzi mazito ambayo wakati mwingine yanakinzana na suala la dini. Kwa mfano dini ya kikristo hairuhusu kulipiza visasi – haitakiwi ulipize ubaya kwa ubaya. Kama tukikupa Urais wan chi yetu, ikitokea nchi yetu ya Tanzania ikavamiwa na maaadui, tukikuchagua Dr Slaa kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Pili, hakuna shaka kabisa kwamba serikali ya Jakaya Kikwete imesimamia kwa mafanikio makubwa sana suala la mauaji ya walemavu wa ngozi yani ALBINO. Dr. Slaa, je, death penalty, mfano kuizinisha wauaji wa albino wanyongwe? Utaziteteaje Haki za ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yani Albino? utazisimamiaje?


.

nAONA WATU WENGINE HAWAJUI WANAKOTOKA,
Mwenye heri Mwalimu Nyerere aliwezaje kufanya maisha yetu yakawa hivi, je huyu si alikuwa zaidi ya Dr. Slaa kidini aliyekuwa Mfia dini na akaziweka dini zote sawa sawa?? Fikirieni mara mbili kabla ya kuandika mambo yanayotubagua watanzania.
Na hili linaonesha kuwa nyie hamtufai kabisaaaaa!!!!!
Huyu JK kafanya maamuzi gani ya maana ya kuwasaidia watanzania zaidi ya kulinda maslahi ya wachache .

Kwani mauaji ya Albino yyeye kafamya nini cha maana na kama unataka kuona basi msubiri uone kama atasaini kunyongwa kwa hao watu. hana lolote.
Ila nachojua kuwa kuna mambo amabyo hata angekuwa mtoto angeweza kuamua vizuri kuliko alivyofanya . kuwalinda mafisadi kwa uwazi na wafungwa kuwaletea mabasi mazuri wakati wafanyakazi akiwanyima na reli kuwauzia wahindi! hayo ndo maamuzi mazuri ee!
Kukarabati magereza bila ya kufanya hivyo nyumba za polisi na kuwapa maslahi mazuri kwao!!!!
huyu ndo amefanya vizuri??
 
NDUGU WANA JF.
Huyu jamaa tusimpuuze hata kidogo, tena mawazo kama haya tuyapokee, maana sisi Great thinkers ni watanzania na hawa wenzetu ni wale WADANGANYIKA
HAYA ndo mawazo yanayotupeleka katika wimbi la umasikini na ufisadi uliokithiri leo hii. Pia ndiyo mawazo ya watu wengi wanaolala njaa lakini hawajui kwanini.
Kifupi mtu kama huyu anahitaji kueleimishwa tu, TUNAHITAJI MABADILIKO., TUENDAKO NI KWA WACHACHE MNO!!!!!

Najaribu kupita mitaani na kufuatilia watu mbalimbali naona kuwa mawazo yao bado tuko mbali na maendeleo ya kweli kwa kukumbatia sisiem inayowakumbatia wacheche hasa watu wa nje kuliko sisi wazawa.

Tuwaeleze kuwa Slaa hajashindwa kuendesah Jimbo, Kweza kwa 100%, na anaendela mbele!!!!!!!

God Bless Dr, slaa mtanzania wa kweli kama Mwalimu aliyebaki katika wachache
mimi ninatoa maoni yangu,,hivi kwa nini watu wenye mawazo finyu wasipelekwe kwenye vyombo vya sheria,,maana mawazo siku zote ndio msingi wa kila kitendo,,unajua mawazo hayo ndiyo yanasababisha matendo ya kifisadi?? nashukuru wakuu kwa majibu yenu yaliyotulia,,siku zote huwa nawaambia rafiki zangu,,jukwaa hili limejaa vichwa,,GREAT THINKERS kwelikweli,,,usije kichwa kichwa hapa,,,nakuhakikishia huwezi kumdanganya mtu aliyekuzidi uwezo wa kufikiri hata siku moja,,,FIKIRI KABLA YA KUTENDA,,THINK NOT ONLY TWICE BUT SO MANY TIMES.

nashukuru sana wakuu kwa majibu yenu mazuri.
 
Nina tumai kwamba Jamiiforums inatekeleza dhana yake ya – WE DARE TO TALK OPENLY, kwa vitendio, na kwahiyo basi waratibu wake hawatafuta maswali yangu kwa wagombea Urais wa Chadema, CUF, na CCM. Mimi kama raia na mpiga kura katika nchi yangu nina haki ya kujibiwa maswali na wagombea moja kwa moja au kupitia wasaidizi wao ilimradi hayavunji sheria, kanuni na heshima. Ntaanzia na mgombea wa Chadema, Mheshimiwa Dr. Slaa.

Dr. Slaa, nafasi ya uongozi ngazi ya Uraisi ni nafasi nyeti, yenye maamuzi mazito ambayo wakati mwingine yanakinzana na suala la dini. Kwa mfano dini ya kikristo hairuhusu kulipiza visasi – haitakiwi ulipize ubaya kwa ubaya. Kama tukikupa Urais wan chi yetu, ikitokea nchi yetu ya Tanzania ikavamiwa na maaadui, tukikuchagua Dr Slaa kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, je kama amiri jeshi mkuu wetu, utaweza kutoa ruhusa nchi yetu iende vitani kutetea maslahi, mipaka na haki zetu watanzania?

Pili, hakuna shaka kabisa kwamba serikali ya Jakaya Kikwete imesimamia kwa mafanikio makubwa sana suala la mauaji ya walemavu wa ngozi yani ALBINO. Dr. Slaa, je, tukikuchagua uwe Rais wetu wa Tanzania, ikija fikia suala la kufanya maamuzi ya kuizinisha wauaji wanyongwe, utakuwa tayari kusimamia death penalty, mfano kuizinisha wauaji wa albino wanyongwe? Utaziteteaje Haki za ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yani Albino? utazisimamiaje?

Mwisho tunafahamu fika ni jinsi gani Jakaya Kikwete alivyoweza kuwa kiongozi mvumilivu na asiye hamaki. JK ni mvumilivu sana, kwa mfano likija suala la vyombo vya Habari ambapo tumeona jinsi gani magazeti mbali mbali yanavyomchafua, ameyapa uhuru sana licha ya kuwa na uwezo wa kuyabana kikatiba. Je, Dr. Slaa wewe ni mvumilivu na usie na hamaki? Kuna mifano dhairi kutoka kwa wajumbe wa kamati yako ya Bunge jinsi gani ulivyokuwa mtu wa kuhamaki, hasira, kuzira na kung'ang'ania mawazo yako ndiyo yasikilizwe na yawe ya mwisho. Je, unatuelezea nini juu ya suala hili? Kuna ukweli kuhusu suala hili?

Haya ni baadhi tu ya maswali ambayo mimi na watanzania wengine nadhani katika kipindi hiki tutakuwa tunakuuliza wewe na wagombea wa vyama vingine mara kwa mara ili tujiridhie kabla hatujafanya maamuzi mgumu ya kumpigia mgombea katika nafasi ya Urais Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania. Nina matumaini makubwa sana kwamba waratibu wa Jamiiforums hawatafuta maswali haya. Naomba kutoa hoja.
sasa nimejua kwa nini wachina wananyonga mafisadi,,yaani mkuu umenikera sana..rafiki tafadhali usirudie tena,,badirika rafiki yangu,,sisi watanzania tunazidi kuelimika sasa hivi,,sio wajinga kama unavyotufikiria.

asante.
 
anaonesha ana kama wiki moja tu tangu ajiunge jamvini ...lakini kiukweli utakuta ni akina MALARIA SUGU wantaumia majina mengine ili wasitambulike...maana haiwezekani mtoto mdogo ambaye bado hajaanza hata kujitoa mwenyewe matongotongo anakuja na post za kipuuuzi eti atazungumzia ccm,cuf na chadema........
TATIZO LA WATZ NI KUUKATAA UKWELI
AJENDA ZA SIRI ZITATUUA..............KM MWANDISHI ATAKAVYOKUFA NA CCM NA MAFISADI
sasa nimejua kwa nini wachina wananyonga mafisadi,,yaani mkuu umenikera sana..rafiki tafadhali usirudie tena,,badirika rafiki yangu,,sisi watanzania tunazidi kuelimika sasa hivi,,sio wajinga kama unavyotufikiria.

asante.
 
SIJAWAHI KUSIKIA RAIS ANASAMEHE WEZI WALIOIIBIA NCHI MABILIONI YA FEDHA.......HII SI AIBU..YAANI SERIKALI IMEFANYA ILI KUWARIDHISHA AKINA DR.SLAA WALIOKUWA MSTARI WA MBELE KWA GHARAMA YOYOTE....
Ku deal na ccm kunahitaji gharama kubwa ikiwemo maisha yako....dr.slaa na wenzake wamethubutu wamejaribu kuweka lehani maisha yao...je wewe mwandishi???????
 
Mchambuzi,

Pili, naona kutoweka kwako kumekufanya upoteze ule u-sharpness nilio utegemea kutoka kwako. Nasema hivyo kwani naona maswali yako yako very basic, na yanaweza kujibika kwa majibu ambayo ungependa wewe mwenyewe kuyasikia. They are such leading questions, even Mh. Kikwete would answer them without a tele-prompter, au kwenye mdahalo live!

Hayo ndio maswali ya mtanzania wa kawaida kama mimi katika nyakati hizi za uchaguzi. Utakuja gundua umuhimu wa mimi kuuliza maswali haya marahisi muda si mrefu. naomba uvumilie kidogo.
 
Dr. Slaa, nafasi ya uongozi ngazi ya Uraisi ni nafasi nyeti, yenye maamuzi mazito ambayo wakati mwingine yanakinzana na suala la dini. Kwa mfano dini ya kikristo hairuhusu kulipiza visasi – haitakiwi ulipize ubaya kwa ubaya. Kama tukikupa Urais wan chi yetu, ikitokea nchi yetu ya Tanzania ikavamiwa na maaadui, tukikuchagua Dr Slaa kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, je kama amiri jeshi mkuu wetu, utaweza kutoa ruhusa nchi yetu iende vitani kutetea maslahi, mipaka na haki zetu watanzania?

Pili, hakuna shaka kabisa kwamba serikali ya Jakaya Kikwete imesimamia kwa mafanikio makubwa sana suala la mauaji ya walemavu wa ngozi yani ALBINO. Dr. Slaa, je, tukikuchagua uwe Rais wetu wa Tanzania, ikija fikia suala la kufanya maamuzi ya kuizinisha wauaji wanyongwe, utakuwa tayari kusimamia death penalty, mfano kuizinisha wauaji wa albino wanyongwe? Utaziteteaje Haki za ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yani Albino? utazisimamiaje?

Mwisho tunafahamu fika ni jinsi gani Jakaya Kikwete alivyoweza kuwa kiongozi mvumilivu na asiye hamaki. JK ni mvumilivu sana, kwa mfano likija suala la vyombo vya Habari ambapo tumeona jinsi gani magazeti mbali mbali yanavyomchafua, ameyapa uhuru sana licha ya kuwa na uwezo wa kuyabana kikatiba. Je, Dr. Slaa wewe ni mvumilivu na usie na hamaki? Kuna mifano dhairi kutoka kwa wajumbe wa kamati yako ya Bunge jinsi gani ulivyokuwa mtu wa kuhamaki, hasira, kuzira na kung’ang’ania mawazo yako ndiyo yasikilizwe na yawe ya mwisho. Je, unatuelezea nini juu ya suala hili? Kuna ukweli kuhusu suala hili?

Mkuu these are cheap politics. Gia kubwa waliyomwingizia Mwinyi ikulu ni kuwa ni mwenzetu, mpole, mvumilivu, ambayo wewe unaona ya maana sana. lakini angalia jinsi utawala wa Mwinyi ulivyokuwa failure. Sidhani kama that alone can make one be a good or bad president.

Ukiangalia kwa undani unaweza kusema the so called uvumilivu na upole, were not part of Mkapa, lakini he managed to get things going. Huyu president wetu unayemsifu kwa hayo, ni kama anaburuzwa nayo, hata hilo suala la maalbino ameonesha weakness sana ya ku deal nalo. Even as we speak bado kuna weakness kubwa.

Kama ukizungumzia kwenda vitani kutetea haki. Nadhani amesimama kidete toka zamani, na ndio maana wana karatu walimpa ridhaa ya kuwa mbunge wao. Tumeona mchango wake kwenye vita dhidi ya ufisadi, hiyo ni vita ya kuitetea Tanzania, nadhani ni ngumu sana hata kuliko vita ya kupigania mipaka au ardhi ya Tanzania, amefanya kazi nzuri mara 100 kuliko JK. I doubt kuwa kama leo kuna mgogoro wa mpaka, with JK we are losers. Sasa hivi ni wazi kuwa kwenye uchumi we are losing takwimu karibu zote zinaonesha mamb yanakwenda ovyo. Lakini JK anavumulia wala hahamaki.

How can you talk of freedom of media in the media enviroment ambayo RA anakamata usukani.RA anatumia udhibiti kuset ajenda ya kuwafanya watanzania bunch of fools, kumbuka 2006 magazeti yalikuwa yanasema nini kuhusu JK mpaka mwenyewe alipowaambia kuwa yeye si mijnga, na kwanini yalibadilika. Na ukumbuke kuwa uhuru wa media uliopo Tanzania ni kama wa Shigongo like tabloids na Clouds FM like radios. Wanaokuwa serious kwenye kazi kama kubenea hawana uhuru.

Do not listen to this crap of media freedom in Tanzania, hii ni ya kuwaambia lay men. Watu smart hapa JF hawawezi kukubaliana na hiyo hoja.
 
Kwa definition yako hiyo hiyoya wiki, ufisadi nao ukiwa "hot button" issue, nani anafurahia na kutetea ufisadi Tanzania? hahhahahahahhaahahaaa

Unajichekesha nini sasa? Kwa taarifa yako mtu ukiendelea kuiunga mkono CCM licha ya madudu yote iliyofanya ni sawa na kuutetea ufisadi kwani ufisadi huo umekithiri chini yao. Wameuzaa, wameulea, wameuendeleza, wameukumbatia, wameufumbia macho, na wanautetea kwa kukwambia CCM ndio chama pekee chenye sera safi. Wanafurahia CCM kuwa madarakani huku wengine tukichukia wao kuwa madarakani. Sasa wewe kama hayo yote huyaoni kuwa wanaufurahia na kuutetea basi kweli kwenye majuha wewe ndio juha wa mwisho.

yametapakaa haimaanishi yako controversial. Kuleta issues za nchi nyingine hapa kwetu na kuziita "hot button" ni kulimbuka kwa kizazi kilichohama nchi. The real issues need not be framed with concepts borrowed from other countries.
Kuwa controversial maana yake nini?

hahahahahaha....
Naona una hamu kweli ya kuchekacheka....I wonder why?

sasa watafunga thread hii sasa hivi...you see, nikiwa kwenye discussion often times post/thread zinafutwa maana mtu anahitaji clutches za lugha kama hizo kuni address. Jitahidi kidogo, utakomaa.
Malarkey......
 
Back
Top Bottom