Maswali ya interview TAESA

Hebu tuwekee hiyo namba maana namba walizoandika kwenye maofisi yao hata hazipokelewei zingine hazipatikani kabisa
IMG_20231116_135428.jpg
 
TAESA Wanafanya Kwa Graduate Kuwajengea Confidence Hivyo Pitia Basic Question Za Interview Ila Jiamini Acha Wasiwasi.

Pia Machache Sana Kwenye Fani Yako (Course Uliyosema) Ondoa Hofu.
 
Mtu Mbadi kuna process za kufanya taesa ili akaunti yangu ibadilike? Maana nimeshafanya interview na internship nimeshaanza tangu 1 March, lakini akaunti yangu bado inaonesha pending interview.
 
Mtu Mbadi kuna process za kufanya taesa ili akaunti yangu ibadilike? Maana nimeshafanya interview na internship nimeshaanza tangu 1 March, lakini akaunti yangu bado inaonesha pending interview.
Hapo wafate ofisin kwao mkuu, japo kama ushaanza internship sizani kama kuna shida yeyote inaweza tokea na hiyo pending ya kweny account yako..
 
Hapo wafate ofisin kwao mkuu, japo kama ushaanza internship sizani kama kuna shida yeyote inaweza tokea na hiyo pending ya kweny account yako..
Nimeshaanza internship, je kuna mkataba natakiwa kusign na taesa? Maana sijui kama nitapata hizo fedha za kujikimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom