captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 758
- 1,697
Hebu tuwekee hiyo namba maana namba walizoandika kwenye maofisi yao hata hazipokelewei zingine hazipatikani kabisa
Hebu tuwekee hiyo namba maana namba walizoandika kwenye maofisi yao hata hazipokelewei zingine hazipatikani kabisa
Nimepiga hata hawapokeiMkuu check Ile iliyopo kweny ac Yao naona wanapokea
Wacheki kesho tena niliwacheki kupitia iyo namba na walipokea.Nimepiga hata hawapokei
Poa maana Kuna mtu namjazia,nikisubmit inaniletea Tena dashboard na imefika asilimia 80Wacheki kesho tena niliwacheki kupitia iyo namba na walipokea.
Hakuna gharama yeyote mkuu, ni wewe na Mda wako Tu, wao wanatoa mafunzo for freeIvi Kuna gharama yoyote kwenye hayo mafunzo Yao TAESA
Okay 🙏Hakuna gharama yeyote mkuu, ni wewe na Mda wako Tu, wao wanatoa mafunzo for free
Wanalipa 150K per month ukipata nafasi lakini sehemTaesa wanalipa?
"Ukipata nafasi lakini sehem" sentensi yako imeishia njiani mkuuWanalipa 150K per month ukipata nafasi lakini sehem
Taesa watakulipa 150K endapo utafanya training yao then ukabahatika kupata sehemu ya kupiga kazi kupitia wenyewe.. sijui kama umenipata mkuu"Ukipata nafasi lakini sehem" sentensi yako imeishia njiani mkuu
Nimekupata mkuuTaesa watakulipa 150K endapo utafanya training yao then ukabahatika kupata sehemu ya kupiga kazi kupitia wenyewe.. sijui kama umenipata mkuu
Hapo wafate ofisin kwao mkuu, japo kama ushaanza internship sizani kama kuna shida yeyote inaweza tokea na hiyo pending ya kweny account yako..Mtu Mbadi kuna process za kufanya taesa ili akaunti yangu ibadilike? Maana nimeshafanya interview na internship nimeshaanza tangu 1 March, lakini akaunti yangu bado inaonesha pending interview.
Nimeshaanza internship, je kuna mkataba natakiwa kusign na taesa? Maana sijui kama nitapata hizo fedha za kujikimu.Hapo wafate ofisin kwao mkuu, japo kama ushaanza internship sizani kama kuna shida yeyote inaweza tokea na hiyo pending ya kweny account yako..
Mkuu nenda ofisi ya TAESA ya karibu yako au ulikofanya interview ndo watakupa majibu sahihiNimeshaanza internship, je kuna mkataba natakiwa kusign na taesa? Maana sijui kama nitapata hizo fedha za kujikimu.