Adam john mbonile
Senior Member
- Oct 20, 2021
- 117
- 106
Jisajili online tu au kama unataka uhakika na maelekezo zaidi nenda ofisini kwao ,ofisi zao zipo mkabala na chuo Cha CBE postaJe kwa mtu aliyegraduate labda miaka 6 iliyopita lakini hakuwahi kupata ajira anaweza kuhudumiwa na taesa? Pia je wanataka watu wenye degree au hat diploma? Pia vipi unaweza kujisajili kwao kwa kuwafuata ofisini bila kupitia online? Kwa Dar ofisi zao ziko wapi?