Sawa Asante nimepitia uzi sijaona maswali yaliyojibiwaHili swala limezungumziwa so angalia nyuzi zilizopita,Ila kwa jinsi ninavyosikia ni kwamba maswali mengi utaulizwa Yale uliyofundishwa training ya jinsi ya kujibu interview,Zen na kuhusu professional yako
InsuranceUmesomea course gani?
1.Tell us about yourself.Habar zenu naomba mnisaidie maswali yanayoulizwa kwenye interview ya Taesa.
Shukrani
Wanauliza kutoka kwenye CV yako, sasa kama ulichoandika hukijui, you will reap what you sowHabar zenu naomba mnisaidie maswali yanayoulizwa kwenye interview ya Taesa.
Shukrani
wamekukandaNimetoka interview TAESA maswali magumu balaa
Hivi Kuna kufeli interview zaowamekukanda
Umefanyia training wapiHivi Kuna kufeli interview zao
ArushaUmefanyia training wapi
Maswali Yao naona kwa asilimia kubwa yamebase na training Yao...Arusha
Sidhan maana Ile nahis ni kupima Tu uelewa wako juu ya training Yao Ila wako vizuri sana binafsi Jana nimekuwa mmojawapo tuliopata training na interview nimejua mengi Sana, Taesa wako vizuri sanaHivi Kuna kufeli interview zao
SawaSidhan maana Ile nahis ni kupima Tu uelewa wako juu ya training Yao Ila wako vizuri sana binafsi Jana nimekuwa mmojawapo tuliopata training na interview nimejua mengi Sana, Taesa wako vizuri sana
Inafeli vizuri kabisa na unarudia interview,Sidhan maana Ile nahis ni kupima Tu uelewa wako juu ya training Yao Ila wako vizuri sana binafsi Jana nimekuwa mmojawapo tuliopata training na interview nimejua mengi Sana, Taesa wako vizuri sana
Kumbe sawaInafeli vizuri kabisa na unarudia interview,
Mkishafanya interview baada ya siku moja kwenda mbele muangalie kwenye account zenu huwa wanaweka matokeo
Ok...ngoja tusubirie matokeo, asante kwa taarifa mkuuInafeli vizuri kabisa na unarudia interview,
Mkishafanya interview baada ya siku moja kwenda mbele muangalie kwenye account zenu huwa wanaweka matokeo