Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 709
Hivi interview zao wanazifanya kwa Kanda?
Yes,Hivi interview zao wanazifanya kwa Kanda?
East, coast zone wapo Dar es salaam, Central zone wako Dodoma, Northern zone wako Arusha na lake zone wapo MwanzaHivi interview zao wanazifanya kwa Kanda?
Nilifanikiwa juzi mkuu! Wanatumia muda gani kuitwa kwenye interview&traing zao?
Unabook for training Kwanza, kama itakuwepo haizidi siku 3 mkuuNilifanikiwa juzi mkuu! Wanatumia muda gani kuitwa kwenye interview&traing zao?
Asante mkuuUnabook for training Kwanza, kama itakuwepo haizidi siku 3 mkuu
Nadhan bado hawajatoa ya interviewTraining na interview nimefanya lakini matokeo sijawekewa
Nadhan bado hawajatoa ya interview
Kwa upande wa training angalia dashboard utaona status training wamekuwekea tick✓Training na interview nimefanya lakini matokeo sijawekewa
uhusiano wao ni kwamba zote ni serikali TaESA ipo chini ya ofisi ya waziri mkuu wizara ya ajira vijana na watu wenye ulemavu. ila haina jukum la kuajiri wafanyakazi wa serikali wa kudumu.Na hivi hao TAESA na UTUMISHI wana uhusiano gani?
Kitu kizitoNimetoka interview TAESA maswali magumu balaa![]()

Nimeona lakini mbona interview Bado hawajaweka majibuKwa upande wa training angalia dashboard utaona status training wamekuwekea tick✓
Vipi wewe majibu ya interview ulipataKwa upande wa training angalia dashboard utaona status training wamekuwekea tick✓
Bado sijawekewa mpaka sasa.Vipi wewe majibu ya interview ulipata
SawaBado sijawekewa mpaka sasa.
Hebu tuwekee hiyo namba maana namba walizoandika kwenye maofisi yao hata hazipokelewei zingine hazipatikani kabisaNjoo PM nikupe namba za Mtu wa Hapo TAESA
Utakuja nishukuru, Uko Kanda gan
Mkuu check Ile iliyopo kweny ac Yao naona wanapokeaHebu tuwekee hiyo namba maana namba walizoandika kwenye maofisi yao hata hazipokelewei zingine hazipatikani kabisa