M Mtendaji wa kaya JF-Expert Member Mar 16, 2014 334 57 May 3, 2014 #322 Wazee wa uhamiaji....kimya zaidi
U UNLOCK JF-Expert Member Mar 9, 2014 268 36 May 3, 2014 #323 mgonjwa said: uhamiaji uhamiaji kwani hamna mambo mengine Click to expand... Hayo mengine yalete wewe sasa.
mgonjwa said: uhamiaji uhamiaji kwani hamna mambo mengine Click to expand... Hayo mengine yalete wewe sasa.
D DENIS MARTINE New Member May 11, 2013 3 0 May 3, 2014 #324 Uhamiaj usail bado? Niko nje ya nch msaada wakuu.
Steang JF-Expert Member Mar 3, 2012 394 42 May 3, 2014 #326 DENIS MARTINE said: Wakuu niko kwa mgabe Click to expand... we endlea kula shav huku kero hawatoi.
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 May 3, 2014 #327 DENIS MARTINE said: Wakuu niko kwa mgabe Click to expand... Kwa hiyo sisi tufanyaje?
ankol JF-Expert Member Aug 21, 2012 2,117 3,495 May 4, 2014 #328 Habari zenu wadau. Hivi hamjapata tetesi lini uhamiaji wataita watu kwenye interview? Mana nilisikia ndani ya mwezi huu wa May mambo yatakua hewani.
Habari zenu wadau. Hivi hamjapata tetesi lini uhamiaji wataita watu kwenye interview? Mana nilisikia ndani ya mwezi huu wa May mambo yatakua hewani.
ukawa JF-Expert Member Apr 16, 2014 282 63 May 4, 2014 #330 waendelee tu kukaa kimya, ngoja tumalizane na tpdc kwanza then tuje huko haaaaa
Rapunzel JF-Expert Member Jun 30, 2012 1,079 597 May 4, 2014 #331 Mi ninachojua ni end of this may kama umepita utaitwa kama umekosa usikate tamaa mpk next year jaribu tena
Mi ninachojua ni end of this may kama umepita utaitwa kama umekosa usikate tamaa mpk next year jaribu tena
M Mtendaji wa kaya JF-Expert Member Mar 16, 2014 334 57 May 4, 2014 #333 DENIS MARTINE said: Wakuu niko kwa mgabe Click to expand... Njoo na mahindi ya kuchoma
C calyx Member May 3, 2014 38 8 May 4, 2014 #334 Dah yan nilishasahau kama niliomba uhamiaji. Hv walitoa post gan hv kwa ngaz ya degree?
S sambb Member Jan 21, 2014 33 12 May 4, 2014 #336 Watu wengine bhana, jifunzeni kuandika kichwa cha habari kinachoendana na maudhui basi. Duuh
ICHANA JF-Expert Member May 10, 2012 4,766 3,583 May 4, 2014 #339 Tulia ndo wanachambua kwanza watu wa shortlist
F fiter JF-Expert Member Dec 3, 2013 1,144 78 May 4, 2014 #340 mastemind said: jana lako limendi kwa kwa penseli so take care Click to expand... inabidi UHAMIAJI wakuchunguze
mastemind said: jana lako limendi kwa kwa penseli so take care Click to expand... inabidi UHAMIAJI wakuchunguze