Kweli we mgonjwa. Ila usije ukaota unapumuliwa mgongoni
hahahhahh....wameshampumulia huyo tayari si bure aseee
Kweli we mgonjwa. Ila usije ukaota unapumuliwa mgongoni
waendelee tu kukaa kimya, ngoja tumalizane na tpdc kwanza then tuje huko haaaaa
Zimamoto wameshamalizana nao nadhani sasa ni zamu ya uhamiaji!
kumbe hata wewe umewabaini hawa watu, kwanza depo la uhamiaji linafanyikia ccp, moshi, sio mbeya, huwa wanafanya na polisi, sababu askari wa uhamiaji ni sawa sawa na hawa polisi ila tu utofauti upo ktk uniform zao na baadhi ya utendaji kazi zao
Jamani uhamiaji hawajatoa shortlist yao? Pressure tupu,tujuzane.
sasa hapa ndugu zangu itakuwaje mtu unaenda kusaini ajira zimamoto mara na huko uhamiaji nako ukaitwa kwa ajiri ya usaili napo pia ukaitwa kwa kazi je hapa itakuwaje
sasa hapa ndugu zangu itakuwaje mtu unaenda kusaini ajira zimamoto mara na huko uhamiaji nako ukaitwa kwa ajiri ya usaili napo pia ukaitwa kwa kazi je hapa itakuwaje
sasa hapa ndugu zangu itakuwaje mtu unaenda kusaini ajira zimamoto mara na huko uhamiaji nako ukaitwa kwa ajiri ya usaili napo pia ukaitwa kwa kazi je hapa itakuwaje
bora ndege mmoja uliyenaye mkononi kuliko mia walio mtini