Maswali magumu ya Luhaga Mpina bungeni kuhusu Symbion kulipwa Bilioni 350 huku wananchi wakibaki na umasikini

Nchi hii wanafaidi wachache Kweli kabisa kama nchi ndio tumeibiwa Bilioni 350 huku vijijini hata zanahati hatuna watu wanakufa kwa kukosa huduma, maji hakuna, mafuta bei juu alafu tunaambiwa mtu mmoja tu ametengenezewa dili ya Bilioni 350 inauma sana Mama Tanzania
 
Mambo Haya Yanatia Kinyaa Sana
BBillions Zinaliwa Na Wachache, Halafu Mlala Hoi Mnambana Na Tozo Kila Eneo
Tanzania Viongozi Ndiyo Majizi Jamani

Mbaya Zaidi Hakuna Chombo Chochote Kitasema Lolote, Huku Walaji Wakionekana Hadharani, Ccm Kimya Kama Iko Kwenye Mtungi Inapoa


Wao Wakati Wote Husema Ndiyo Wenye Nchi Na Ilani Oneni Sasa
Yaani Rais Anaingia Mikataba Kuleta Pesa Nchini
Wachache Wanazichota Kwa Ujanja
 
Walikuwa wanamwita Lissu "MIGA" na kumkebehi kwamba ni mwehu. tulipe tu hakuna namna!!
Kama Taifa bado tunasafari ndefu sana tunapenda kubadilisha ajenda hili kufanikisha ulaji wa watu sasa Lissu anahusikaje huku unaambiwa malipo yamefanyika bila kuzingatia mambo hayo au hujasoma Hoja ya Mpina?
 
Kama Taifa bado tunasafari ndefu sana tunapenda kubadilisha ajenda hili kufanikisha ulaji wa watu sasa Lissu anahusikaje huku unaambiwa malipo yamefanyika bila kuzingatia mambo hayo au hujasoma Hoja ya Mpina?
Inahusiana. Lissu alisema tatizo letu liko kwenye mikataba yetu tunayoingia na hao wanaotudai. Na alishauri mambo ya mikataba yaangaliwe upya. Na Rais Samia Suluhu ndiyo maana kasema kuwa ni lazima SASA mikataba yote ipitie kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Tunalipa kwa kuwa tulikiuka mkataba na mahakama za kimataifa ndizo zimeamua hivyo.
 
Inahusiana. Lissu alisema tatizo letu liko kwenye mikataba yetu tunayoingia na hao wanaotudai. Na alishauri mambo ya mikataba yaangaliwe upya. Na Rais Samia Suluhu ndiyo maana kasema kuwa ni lazima SASA mikataba yote ipitie kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Tunalipa kwa kuwa tulikiuka mkataba na mahakama za kimataifa ndizo zimeamua hivyo.
Hakuna mkataba wa Serikali unaosainiwa bila kupitia kwa Mwasheria Mkuu wa Serikali.
 
Kama ilikuwa ni hivyo ni kwa nini basi Rais Samia Suluhu alisema "kuanzia SASA...mikaba yote ni lazima ipitie kwa Mwanasheria Mkuu" ina maana Rais hana taarifa sahihi kuliko wewe!!??
Hayo maombi yalikuwa ya Mwanasheria Mkuu hivyo Rais alijibu maombi ya AG ila sio kwamba Rais ndio alianzisha hiyo mada
 
Huyo Mpina akiwa wizara ya Mifugo na uvuvi kaumiza sana wananchi kwa kuwaharibia Vifaa vyao kuwapora leseni kwa sababu ya maslahi yake na mabwana zake leo anakuja na porojo za kijinga,Mnatuona waTz Mafala sana
Ungeyaweka hayo mambo aliyoyafanya Mpina ili wote tuelewe tusiojua
 
Hawa WEZI wote tumeshawashtaki kwa Mungu si muda mrefu mtaona kitakachowakuta
 
Back
Top Bottom