Maswali kumhusu Papa Mtakatifu

Maswali kumhusu Papa Mtakatifu

[emoji3583]PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU[emoji116]

[emoji1607]je PAPA/POPE ni nani????

[emoji1607]je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

[emoji1607]je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

[emoji1607]je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

[emoji1607]je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

[emoji1607]je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

[emoji1607]je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

[emoji1607]je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100[emoji16]????

[emoji1607]je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

[emoji1607]je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

[emoji1607]je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

[emoji1607]je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

[emoji1607]je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

[emoji1607]Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Ngoja tumalizane na wanautupiga mnada na kugawa urithi wetu kabla hatujafa
 
[emoji3583]PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU[emoji116]

[emoji1607]je PAPA/POPE ni nani????

[emoji1607]je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

[emoji1607]je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

[emoji1607]je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

[emoji1607]je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

[emoji1607]je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

[emoji1607]je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

[emoji1607]je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100[emoji16]????

[emoji1607]je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

[emoji1607]je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

[emoji1607]je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

[emoji1607]je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

[emoji1607]je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

[emoji1607]Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
1.Kwanini wewe unaitwa Bujibuji?,nini maana yake?.
2.Kuna uhusiano gani kati ya Avatar yako na picha za Kifreemason?.
 
Papa ipo kibiblia,papa wa kwanza alikua Petro,
Ukatoliki ndio umeitunza umebeba historia ya Ukristo makanisa yote ya Kikristo ni tawi la ukatoliki
Kweli Kabisa.Wachungaji na Viongozi Wengine wa Makanisa ya Kiprotestanti wanaujua Ukweli huu,lkn wanajizima data.
 
Mt 23:9-12 SUV

Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa.

Mkuu ungebadilisha kwanza uondoe neno baba, pia papa sio mtakatifurekebisha baba mtakatifu ndo tukuelewe
 
Hapa ndipo naonaga hawa jamaa ni wasanii flani hivi, yani hicho cheo cha papa ni cheo cha kibinadamu alafu wamekipa utakatifu
 
Moshi mweupe means papa kapatikana wanatangaziwa Dunia kwa maana waandishi wa habari Huwa hawaruhusiwi kuingia kwenye pool ya kumchagua papa.
Papa uchaguliwa na makadinari wote wa dunia nzima.
Moshi mweusi means kura zilizopigwa zimeharibika au mchakato wa kura unarudiwa.
Moshi mweupe means hitimisho uchaguzi umefanikiwa.
 
[emoji3583]PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU[emoji116]

[emoji1607]je PAPA/POPE ni nani????

[emoji1607]je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

[emoji1607]je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

[emoji1607]je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

[emoji1607]je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

[emoji1607]je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

[emoji1607]je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

[emoji1607]je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100[emoji16]????

[emoji1607]je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

[emoji1607]je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

[emoji1607]je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

[emoji1607]je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

[emoji1607]je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

[emoji1607]Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Subili matusi
 
Back
Top Bottom