bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,302
KivipiNi uongo. Unajua usabato ni ushetani. Kazi yake ni kupingana na kanisa tu. Baba wa uongo shetani ndio malaika wao wa mwanga.
KivipiNi uongo. Unajua usabato ni ushetani. Kazi yake ni kupingana na kanisa tu. Baba wa uongo shetani ndio malaika wao wa mwanga.
Imagine jitu Lofa linapinga kitu ambacho hadi video zake zipo na hali amini kabisa waheed.I
Imagine jitu kabisa limeamka zake linaleta uongo wa kijinga na pengine linaamini kabisa.
Imagine jitu Lofa linapinga kitu ambacho hadi video zake zipo na hali amini kabisa waheed.
Mavi wewe nioneshe hizo video shetani mkubwa wewe na kahaba aliyeanzisha dini lenu la kishetani.
Duh...✝️PAPA/POPE NI NANI KWANI
JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU👇
✍🏽je PAPA/POPE ni nani????
✍🏽je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???
✍🏽je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??
✍🏽je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???
✍🏽je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??
✍🏽je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)
✍🏽je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??
✍🏽je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100😁????
✍🏽je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???
✍🏽je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???
✍🏽je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)
✍🏽je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )
✍🏽je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?
✍🏽Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Hatuwezi kuingia kwenye uzima wa milele kwa kunywa holy water ya aina yoyote ile
Mbona Yesu anamcharaza pope?View attachment 2654322
Mavi mimi na Shetani mimi.
Ajabu na wewe umejaa mimavi sasa wewe Pia si shetani wenzetu.
Kula chuma hicho.
Nyie wazee Necromancy endeleeni kuwaambia wafu wawaombee nyie wakosefu msamaha kwa Mungu wenu Zeus.
Mstari gani unaosema papa wa kwanza alikuwa ni Petro?Papa ipo kibiblia,papa wa kwanza alikua Petro,
Ukatoliki ndio umeitunza umebeba historia ya Ukristo makanisa yote ya Kikristo ni tawi la ukatoliki
Juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa.Mstari gani unaosema papa wa kwanza alikuwa ni Petro?
He is the leader of those who reverse the order...... Punish n Cast em out.Mbona Yesu anamcharaza pope?
Elewa Nini maana ya papa kwanza ndipo ujeMstari gani unaosema papa wa kwanza alikuwa ni Petro?
Biblia imesema tusimwite yeyote baba (kiroho)Elewa Nini maana ya papa kwanza ndipo uje
Usiongeze wala kupunguza neno!Biblia imesema tusimwite yeyote baba (kiroho)
Kwanini hakuna papa mweusiPapa ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani. Huyu anayeitwa papa amezaliwa akawa raia kama wewe au kikanisa tuseme mlei, akawa padri, kisha askofu na kuchaguliwa kuwa papa.
Kukosa kuwaombea wangekuwa zaidi ya hapoViongozi wenu wa dini wako busy kuwaombea na kuwabariki mafisadi na madili yao haramu
Once you are evil, yeah, a dog will never turn to an elephantKukosa kuwaombea wangekuwa zaidi ya hapo