Maswali kumhusu Papa Mtakatifu

Maswali kumhusu Papa Mtakatifu

PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU

je PAPA/POPE ni nani????

je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100????

je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Vatican aka catholic ndio walioanzisha UISLAM. Nadhani hili litajibu maswali zaidi ya MA 3. Kingine Roma haikuanguka Bali ilijitawanya.... If you know.. You know.
.. Get this catholic ni dini DOLA as Islam ilivyo.... Go back to history!!
... He will be the one to unite all the religions to that ONE FAMOUS RELIGION (COEXIST).... And the leader will be... You know
 
PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU

je PAPA/POPE ni nani????

je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100????

je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
If you know... You know.
IMG_20230407_195455.jpg
 
✝️PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU👇

✍🏽je PAPA/POPE ni nani????

✍🏽je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

✍🏽je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

✍🏽je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

✍🏽je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

✍🏽je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

✍🏽je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

✍🏽je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100😁????

✍🏽je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

✍🏽je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

✍🏽je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

✍🏽je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

✍🏽je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

✍🏽Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Yaani bandari imeuzwa alafu wewe uko bize kumuulizia mnyama/mpinga kristo.

Umeniudhi sana mkuu
 
MZEE WA SIKU NDIO PAPA.

HAPA MZEE WA SIKU TUNAONA AKIPOKEA HUKUMU KUTOKA KWA MUNGU.

Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Danieli 7:9
Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.

Danieli 7:13
hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.

Danieli 7:22
 
PAPA NI WAKALA WA SHETANI DUNIANI.

papa Anamuwakilisha shetani.

Mwanamke KAHABA ni kanisa la KISHETANI Lenye Mafundisho ya KISHETANI.

Bikla Maria kutuombea MBINGUNI.

KUBADIRI majira na sheria.

Kutumia Rozali.

Kutokuzaa na kufunga ndoa .

Kuabudu sanamu.

Majivu na Moshi nk
 
MZEE WA SIKU NDIO PAPA.

HAPA MZEE WA SIKU TUNAONA AKIPOKEA HUKUMU KUTOKA KWA MUNGU.

Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Danieli 7:9
Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.

Danieli 7:13
hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.

Danieli 7:22
Nafikiri mzee wa siku ni YESU na siyo PAPA.

aliyekufundisha hilo fumbo kakupotosha
 
Mwamposa
Vatican aka catholic ndio walioanzisha UISLAM. Nadhani hili litajibu maswali zaidi ya MA 3. Kingine Roma haikuanguka Bali ilijitawanya.... If you know.. You know.
.. Get this catholic ni dini DOLA as Islam ilivyo.... Go back to history!!
... He will be the one to unite all the religions to that ONE FAMOUS RELIGION (COEXIST).... And the leader will be... You know
 
Aliye ku brainwash sijui kalipwa bei gani? Kafanya kazi yake vyema sama.
Mzee wa siku ni Yeye aliyeshinda mauti
MZEE WA SIKU NDIO PAPA.

HAPA MZEE WA SIKU TUNAONA AKIPOKEA HUKUMU KUTOKA KWA MUNGU.

Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Danieli 7:9
Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.

Danieli 7:13
hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.

Danieli 7:22
 
PAPA/POPE NI NANI KWANI

JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU

je PAPA/POPE ni nani????

je BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE???mimi mbona nimetafuta sijaona???

je kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI) ??

je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???

je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??

je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican??? ndani ya nchi ya Italy(kwanini ni city state?)

je kwanini mapapa wote ni WAZUNGU??

je wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100????

je ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani???

je kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza???

je nikweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi??(doctrine of indulgence)

je ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti(Kama hujui usibishe fuatilia )

je kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?

Je mnajua lolote kuhusu Chrislam(kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
Sentensi ya mwisho imekuanika ulivyo bogus kwenye Kiswahili. Hujui matumizi ya dhidi na baina!!!
 
Yaani wasabato ni kama wakaanga sumu, wazushi, wafitini maofisini. Wao kutwa ni kuattack ukristo. Maana kimsingi wao ni wakristo wa mchongo.
 
PAPA NI WAKALA WA SHETANI DUNIANI.

papa Anamuwakilisha shetani.

Mwanamke KAHABA ni kanisa la KISHETANI Lenye Mafundisho ya KISHETANI.

Bikla Maria kutuombea MBINGUNI.

KUBADIRI majira na sheria.

Kutumia Rozali.

Kutokuzaa na kufunga ndoa .

Kuabudu sanamu.

Majivu na Moshi nk
Wewe huna akili,Kichwa chako kimejaa makamasi.Hii ndo shida ya Mimba zisizotarajiwa.
 
Back
Top Bottom