Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,079
✝️PAPA/POPE NI NANI KWANI
JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU👇
✍🏽 Je, PAPA/POPE ni nani?
✍🏽 Je, BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE? Mimi mbona nimetafuta sijaona.
✍🏽 Je, kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI)?
✍🏽je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???
✍🏽je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??
✍🏽je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican? ndani ya nchi ya Italy (kwanini ni city state?)
✍🏽 Je, kwanini mapapa wote ni WAZUNGU?
✍🏽 Je, wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100😁?
✍🏽 Je, ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani?
✍🏽 Je, kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza?
✍🏽 Je, ni kweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi? (doctrine of indulgence)
✍🏽Je, ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti (Kama hujui usibishe fuatilia)
✍🏽 Je, kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?
✍🏽 Je, mnajua lolote kuhusu Chrislam (kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?
JAMANI SIO KILA SIKU NAWAJIBU NYINYI TU LEO NA MIMI MUNIJIBU MASWALI YANGU👇
✍🏽 Je, PAPA/POPE ni nani?
✍🏽 Je, BIBLIA inasemaje kuhusu PAPA/POPE? Mimi mbona nimetafuta sijaona.
✍🏽 Je, kwanini WHITE POPE and NOT BLACK POPE(PAPA MWEUSI)?
✍🏽je kwa nini kila akichaguliwa PAPA kuna moshi mweusi na mweupe vatican???unakua una maana gani???
✍🏽je ni kwanini viongozi wakubwa Duniani (wafalme,maraisi) mara nyingi wakimtembelea PAPA huvalia mavasi
Meusi na huku yeye akivalia Vazi jeupe??
✍🏽je Vatican ni nchi ndani ya nchi,state of Vatican? ndani ya nchi ya Italy (kwanini ni city state?)
✍🏽 Je, kwanini mapapa wote ni WAZUNGU?
✍🏽 Je, wale maaskari wa Jesuits na BLACKWATER wa Vatican wanakazi gani, huku mkiambiwa ni waswiz wasio zidi 100😁?
✍🏽 Je, ORDER ya TRAPEZOID(trapeza) ina maana gani?
✍🏽 Je, kwanini jeneza la papa Paul 2 lilikua na shape ya trapeza?
✍🏽 Je, ni kweli MARTIN LUTHER aliondoka kanisa la kirumi kwa ajili ya vitubio vya dhambi? (doctrine of indulgence)
✍🏽Je, ni kwa Nini IMAM mkuu wa SAUDI lazima apitishwe na Vatican kabla ya kuapishwa Nchini Saudia huku ikiwa ni Dini tofauti (Kama hujui usibishe fuatilia)
✍🏽 Je, kwanin PAPA sio ajabu kubusu QUR'AN kuisoma na hata kushiliki ibada na WAISLAM?
✍🏽 Je, mnajua lolote kuhusu Chrislam (kuunganisha Ukristo+uislamu) na mkataba uliosainiwa Nchini Abu Dhabi dhidi ya PAPA na Imam mkuu WA Saudia?