Anatafuta Ligi.Mkuu una hasira..? mbona post tatu za aina moja..
Sasa hapo ndiyo umejibu au umefanya nini? nimekuuliza swali kisha nikakuomba uthibitishe maneno ya kuwa hakuna mungu kama huna uhakika na ulichokisema ungesema tu.Upeo wa fikra huwafanya watu waamini kuwa kamungu kapo,kama kapo thibitisha.
Mi sijawahi kaona hako kamungu au ulikaona wapi ili nikaone na Mimi !!
Me ntalimalizaNgangangaaaaa... Movie limeanza
ha ha ha mkuu mvumilie huo ujibuji wake! ningemsaidia kujibu niruhusu nimsaidie kujibuSasa hapo ndiyo umejibu au umefanya nini? nimekuuliza swali kisha nikakuomba uthibitishe maneno ya kuwa hakuna mungu kama huna uhakika na ulichokisema ungesema tu.
We jibu tu mkuu ni kwa faida ya wote.ha ha ha mkuu mvumilie huo ujibuji wake! ningemsaidia kujibu niruhusu nimsaidie kujibu
Watu wanasema kuwa kuna mungu coz wakiangalia na kufikiria vitu vilivyopo wanaona/kuwaza kuwa kuna aliye vitengeneza, coz akili ya mwanadamu inawaza kuwa hakuna kitu ambacho kimejileta chenyewe isipokuwa mungu(kwa mujibu wa vitabu vya dini).Kwani unafikiri kwanini watu wanasema kuna mungu? na we we unawezaje kuthibisha usemacho kuwa hakuna mungu?
unakosea sana unaposema wazungu waliintroduce money ili watutawale! alafu kuwa na mashine ya kutengeneza ela haimaanishi kwamba hutokuwa na deni pia haimaanishi kuwa na mashine ya kuchapisha ela basi utachapisha nyingi uwezavyo ili kila mtu awe tajiri hapana ili kuelewa eneo hilo inabidi wachumi wakueleweshe hata hivyo sikatai kwamba wao wanapotushapishia hatuwalipi ila deni letu linatokana na vitu mbalimbali kama miradi mikubwamikubwa inshort kuwa na nakala nyingi ya pesa si kutatua shida za taifa kwani kinachoangaliwa ni thamani yake.hizo shida zetu zimeletwa na nani kama sio wao? huu mfumo tunaoishi ni wa kwetu au wa kwao? tulikua tunatumia hela kama medium of exchange? wao si ndo wameintroduce mfumo wa hela ili watutawale... pia tungekua na mashine ya kutengenezea hela unadhani tungekua na deni? nani anaecontrol hio kitu? upo?
Sasa hapo ndiyo umejibu au umefanya nini? nimekuuliza swali kisha nikakuomba uthibitishe maneno ya kuwa hakuna mungu kama huna uhakika na ulichokisema ungesema tu.
Dalili za mwisho wa dunia huwa ziko wazi wazi hasa pale mtu/watu wanapoKuja na hoja za Kumdhihaki Allah.1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?
2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?
3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?
4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?
5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.
6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.
7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?
8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?
9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?
10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?
12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)
14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?
15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.
16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?
17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?
18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?
19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?
20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.
Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana
hili swali lako limenigusa mno.. ukifikiria kwa umakini utajua kwanini wazungu walileta dini ya kikristo.. dini ya kikristo inafundisha kuwa na huruma, kuwa wanyenyekevu, kuwa watu wa kutokuhoji vitu.. wakati wa ukoloni mababu zetu walikua watata sana yaani hawatii mamlaka ya mkoloni, ndo maana wakoloni wakaintroduce huu ukristo kwa waafrika ili wawe na roho ya huruma, wawe wanyenyekevu, yaani kwa kizungu unaweza kusema walitujenga tuwe SUBMISSIVE.[QUOTE uid=292576 name="CHAMITON" post=17105195]
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi