bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Wizi
mtupuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Simu Iliita...
MUME: Hello baby!
MKE: Hello Sweetie!
MUME: Leo nitachelewa
kurudi...
MKE: Nishajua uko kwa
vijanamke vyako, wewe ni
malaya sana.
Sijui ilikuaje nilikukubali,
nakuchukia kama nini,
sikupendi.
MUME: Nipo BENKI hapa. MKE: Haaaaah, ulijuaje kama
sina hela baby... Nitolee laki
1, nakupenda sana,
nakuandalia maji ya kuoga
Sweetie... Pls usisahau
kuniletea na chipsi kuku, Mwaaaah!
MUME: Ni BENKI ya
Kuchangia Damu MKE: Nyooooooooh!
mtupuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Simu Iliita...
MUME: Hello baby!
MKE: Hello Sweetie!
MUME: Leo nitachelewa
kurudi...
MKE: Nishajua uko kwa
vijanamke vyako, wewe ni
malaya sana.
Sijui ilikuaje nilikukubali,
nakuchukia kama nini,
sikupendi.
MUME: Nipo BENKI hapa. MKE: Haaaaah, ulijuaje kama
sina hela baby... Nitolee laki
1, nakupenda sana,
nakuandalia maji ya kuoga
Sweetie... Pls usisahau
kuniletea na chipsi kuku, Mwaaaah!
MUME: Ni BENKI ya
Kuchangia Damu MKE: Nyooooooooh!