Dawa ya wanawake wapenda pesa ni hii hapa....!!!!

Dawa ya wanawake wapenda pesa ni hii hapa....!!!!

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
Simu Iliita...

MUME: Hello baby!

MKE: Hello Sweetie!

MUME: Leo nitachelewa kurudi...

MKE: Nishajua uko kwa vijanamke vyako, wewe ni malaya sana.
Sijui ilikuaje nilikukubali, nakuchukia kama nini, sikupendi.

MUME: Nipo BENKI hapa.

MKE: Haaaaah, ulijuaje kama sina hela baby... Nitolee laki 1, nakupenda sana, nakuandalia maji ya kuoga Sweetie... Pls usisahau kuniletea na chipsi kuku, Mwaaaah!

MUME: Ni BENKI ya Kuchangia Damu

MKE: Nyooooooooh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom