Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,076
Mume: Hello baby!
Mke: Hi swt!
Mume: Nitachelewa kurud leo
Mke: Nishajua uko kwa vijanamke vyako, ww ni mznzi sana cjui ilikuaje ukanioa
nakuchukia!
Mume: Ujue niko benki mpnz.... Mke: Haa!
Ulijuaje km cna hela, nitolee laki 1 baby, nakupenda sana kuliko roho yangu, nakutengea
maji yakuoga sweety.
Ucsahau na chips kuku mmwaaaa!
Mume: Dah, ni benki ya kuchangia damu
Mke: Nyoooo!
Mke: Hi swt!
Mume: Nitachelewa kurud leo
Mke: Nishajua uko kwa vijanamke vyako, ww ni mznzi sana cjui ilikuaje ukanioa
nakuchukia!
Mume: Ujue niko benki mpnz.... Mke: Haa!
Ulijuaje km cna hela, nitolee laki 1 baby, nakupenda sana kuliko roho yangu, nakutengea
maji yakuoga sweety.
Ucsahau na chips kuku mmwaaaa!
Mume: Dah, ni benki ya kuchangia damu
Mke: Nyoooo!