...Jinsi ya kumpata piga simu Cloud radio kipindi cha power breakfast utampata Kipanya.Kwanini usimtafute mmoja wapo ili upate majibu mubashara?
Nani kakuambia power breakfast unaweza tu kupiga cm uongee na watangazaji?Wakuu, husikeni kichwa cha thread hii hapo juu. Naomba mnitajie vifaa wanavyotumia hawa magwiji wawili katika vibonzo vyao. Mkinitajia na bei zake ntashukuru sana.
Naomba kuwathilisha
Thread Closed.Graphics pen tablet
Wakuu, husikeni kichwa cha thread hii hapo juu. Naomba mnitajie vifaa wanavyotumia hawa magwiji wawili katika vibonzo vyao. Mkinitajia na bei zake ntashukuru sana.
Naomba kuwathilisha
Duu eti ndoo kubwa au bichwa pipa kabisa.unataka kuanza kuchora mbichwa wa sizonje. a.k.a ndoo kubwa.
Hizi ni special mkuu, unachomeka kwenye computer. ukitaka tablet pia zipo zinazoweza fanya hizo vitu ila nyingi ni zile high end kwa matokeo bora.kaka, je ni kila tablet inaweza kutumika kwenye kuchorea??? au hizi ni special tu mambo kama haya.
pia bei zake zikoje???. na wapi ntapata. nipo Dar
Bei mkuu kwa mahitaji yako tu na specifications utakazo zinaanzia 30$-90$za kivwege kidogo labda kuchorea mangas na michoro simple mostly lines kama katuni then 100 -200$medium na zile pro kuanzia 300-2000$ hapa wale watu wa avatar na movies zingine za kizushi wanahusika hapakaka, je ni kila tablet inaweza kutumika kwenye kuchorea??? au hizi ni special tu mambo kama haya.
pia bei zake zikoje???. na wapi ntapata. nipo Dar
Hahaaaaaaaa kuna moja alimwekea shimo kwenye sifongo ,mkuu akamwomba kurudi kule kwa zamaniunataka kuanza kuchora mbichwa wa sizonje. a.k.a ndoo kubwa.
Tablet/ipadkaka, je ni kila tablet inaweza kutumika kwenye kuchorea??? au hizi ni special tu mambo kama haya.
pia bei zake zikoje???. na wapi ntapata. nipo Dar