Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,314
- 92,442
Well said,
Ikiwa unafikiri ni rahisi kutoa tamko kuwakataza waislamu inabidi ufikiri vile vile kuwakataza Maaskofu, Mapdre wanaotoa matamko yaliyosheheni ugomvi, bias and irrelevant!
Siyo wakasema waislamu noma wakisema wakristo wanasifiwa ..lol...
Besides, Madai ya waislamu yachunguzwe yasipuuzwe..kuna tatizo gani kuunda tume huru kuchunguza madai ya kuonewa kwa waislamu Tanzania since indepedence if we really believe in justce?
Huu upuuzi wa kusifia waG.. na kupuuza madai ya msingi kwa kejeli hauta solve problem yeyote..ila tutapambana hadi kieleweke..hata kama ni vizazi na vizazi...justice must prevail
Naomba tusipotezeane muda hapa, mada ni NI YAPI MASLAHI YA WAISLAMU HAPA TANZANIA?
Kama hakuna wa kuyaelezea hayo maslahi ya waislamu hapa akae kimya kabisa, hatutaki taifa la watu wanaopayukapayuka kama bata.