Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

Maskini Sophia wangu... Sasa najutia!

mmmmmmmmmmh! loading........kumbe wewe siyo SHEMALE ni He ,au?
kongosho unatuchanganya hapa.
 
Yaani bg mama Baada ya ile story ya ukweli kubumbuluka umeamua kuleta hii ili utuchanganye eeh! Hatudanganyiki ng'oo.
 
Sikuthulubu ila najaribu kujua what u mean here and hii story imekuwa intended to who au ni nani ilimtokea
Ila listen to your heart most na sio ndugu wanasemaje maana always utaishia kupoteza kitu cha muhimu sana ambacho kilikuwa kiwe bora kwa maisha yako na ukajikuta umeangukia kwenye matatizo matupu kutokana na kuambiwa na ndugu hili usifanye
story intended to No one specifically.
Just sharing experiences.
Kusema kunasaidia kama hujui.
 
tatizo ni kukonsentrati na na detail isiyo na maana na kucha story nzima behind the scene.
 
@bepari la kihaya upo?
niko hapa serena napata cocktail kabla ya kwenda sea cliff karambezi nina miadi na deputy gavana wa benki kuu.Nataka nilale mapema maana alfajiri nachukua swiissair nina kikao na sapplya wangu zurich mchana.Karibu serena Husn.
 
Hivi unadhani Kashozi utapeleka Nyamhanga?

Au ubebe mtoto uende naye? Umesahau unavyoingia ndani kinyume nyume na watu waote wanaitwa kushuhudia ili wajifunze toka kwako.

Do you think it was easy? Kubeba hiyo aibu?
Hasa kumfikiria mama akichekwa na majirani?

Tena wewe, you know it better than anyone wala usiseme hayo maana ntakubamiza.

nye.....ge tu na sophy inakusumbua,huna lolote.
 
Hivi unadhani Kashozi utapeleka Nyamhanga?

Au ubebe mtoto uende naye? Umesahau unavyoingia ndani kinyume nyume na watu waote wanaitwa kushuhudia ili wajifunze toka kwako.

Do you think it was easy? Kubeba hiyo aibu?
Hasa kumfikiria mama akichekwa na majirani?

Tena wewe, you know it better than anyone wala usiseme hayo maana ntakubamiza.
kwi kwi kwi kwi.....Husn uko wapi unishikilie mbavu zangu?
Teh teh teh teh jamani jamani mpaka machozi yanandondoka,uuuuuuuwwwwiiii mbavu zangu jamani!
 
Back
Top Bottom