Kweli na mm nimewacheki ni mlio wa DW tu nahisi dialo na bwana Mkubwa kuna sehem hawakwenda sawa, tusubir 2020 itafufuliwa kwenye kampeni
😂😂😂😂😂😂ndio tyr hiyoooo
= wanabadilishanaKinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa dw radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.
= wanabadilishana
= aliyebadili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
watoe gawio millioni moja waombe millioni mia.Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa dw radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.