TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,585
- 20,730
Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzuni kwa kweli, watangazaji wanabadilishana kutwa hao hao.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.