Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Mwalimu mmoja alikuwa anafundisha akaenda kukalia dawati chati mbaya akadondoka chali.
Faraja akanza kucheka
Mwalimu "Faraja unacheka nini?"
Faraja "mwalimu nimeona shanga zinacheza cheza"
Mwalimu "toka nje njo bada ya wiki moja"
Juma nae akanza kucheka
Mwalimu "Juma unacheka nini"
Juma "mwalimu niliona mapaja yako mazuri"
Mwalimu "Juma toka nje huna adabu kabsa nicikuone tena bada ya mwezi mmoja"
Pdidy nae akanza kuondoka uku anacheka
Mwalimu kauliza "mbona Pdidy unaondoka nini tatizo"
Pdidy "mwalimu nilichokiona nahisi nikisema sitorudi tena wacha nijiondokee mwenyewe"
Faraja akanza kucheka
Mwalimu "Faraja unacheka nini?"
Faraja "mwalimu nimeona shanga zinacheza cheza"
Mwalimu "toka nje njo bada ya wiki moja"
Juma nae akanza kucheka
Mwalimu "Juma unacheka nini"
Juma "mwalimu niliona mapaja yako mazuri"
Mwalimu "Juma toka nje huna adabu kabsa nicikuone tena bada ya mwezi mmoja"
Pdidy nae akanza kuondoka uku anacheka
Mwalimu kauliza "mbona Pdidy unaondoka nini tatizo"
Pdidy "mwalimu nilichokiona nahisi nikisema sitorudi tena wacha nijiondokee mwenyewe"