Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
Preta Unataka kuwa njiti?Mbona Ubonge wako unaendana na Ufupi ulionao.Si unajua Uzito na Urefu vinamata sana!inafanyika wapi jamani hiki kitu wengine tumelemewa huku......naombeni na cost zake ili nijiweke kamili......