Oneni matokeo ya utapia mlo wa ubongo wa huyu kiumbe!
Tatizo ukisoma Bible unachagua mistari ya kusoma; mingine haikurahishi ndio sababu unaikimbia
Chama
Gongo la mboto DSM
Mapumzikoni Monga Vyeru
Narudia tena Bavicha Mwanza wamemtaka Dr Slaa aachie ngazi ndani ya chama ni pandiki la CCM. Kama atakataa basi Bavicha hawana njia nyingine zaidi ya kuitisha maandamano nchi nzima...nadhani umenipata.
Teh teh teh..... mwaka huu mtapasuka magamba! Gharama yote ya nini kununua watu? Si mtulie mtekeleze ilani yenu?
Dalili zinaonyesha chama kilichoonyesha upinzani mkubwa katika uhaguzi 2010 kimefikia haali mbay ksiasa kiasi ambacho uongozi wa chama umebaki wa wachache wateule. Hii imethibitisha maneno yangu huko nyuma kuwa CDM ni tunda la msimu ambalo halitatua mahitaji ya muda mrefu.
Chadema kinazidi kuzugukwa na migogoro siku hadi siku, maeneo yote ya Tanzania wanakiponda hiki chama kwa vile kinaendeshwa kwa misingi ya ukana, ukabila na undugu.
Nakitabiria hiki chama hakifika mwaka 2105/QUOTE]
kwenye red ndo tukueleweje?
Tusiharibu thread ya MAFILILI mkuu turudi kwenye topic
Gamba! we huwa unaonekana kwenye hoja za hivi tu..zipo - na cdm. je, huwa unahusika kuzitoa?
Wewe ndio mvivu wa kusoma humu JF mie naandika majukwaa mengi.
sasa na wewe hizi ni propaganda ambazo ndani yake hapaonekani fact hata moja! Propaganga ni zile habari za kuundwa tu ambazo ndani yake hamna hoja.propaganda zitabakia kwa propaganda tu bila kujali anaezitoa ni ccm chadema au ni nani!.propaganda za namna hii ni sehemu ya siasa chafu bila kujali anaezifanya.nashauri tujenge hoja badala ya kuleta ushabikidalili zinaonyesha chama kilichoonyesha upinzani mkubwa katika uhaguzi 2010 kimefikia haali mbay ksiasa kiasi ambacho uongozi wa chama umebaki wa wachache wateule. Hii imethibitisha maneno yangu huko nyuma kuwa cdm ni tunda la msimu ambalo halitatua mahitaji ya muda mrefu.
Chadema kinazidi kuzugukwa na migogoro siku hadi siku, maeneo yote ya tanzania wanakiponda hiki chama kwa vile kinaendeshwa kwa misingi ya ukana, ukabila na undugu.
Nakitabiria hiki chama hakifika mwaka 2105
Dalili zinaonyesha chama kilichoonyesha upinzani mkubwa katika uhaguzi 2010 kimefikia haali mbay ksiasa kiasi ambacho uongozi wa chama umebaki wa wachache wateule. Hii imethibitisha maneno yangu huko nyuma kuwa CDM ni tunda la msimu ambalo halitatua mahitaji ya muda mrefu.
Chadema kinazidi kuzugukwa na migogoro siku hadi siku, maeneo yote ya Tanzania wanakiponda hiki chama kwa vile kinaendeshwa kwa misingi ya ukana, ukabila na undugu.
Nakitabiria hiki chama hakifika mwaka 2105
Kuanguka kwa Chadema ni hitimisho tu; hao wanaojiita viongozi wapo kutetea maslahi yao kimaisha; chama hakipo kutetea watanzania kama wanavyojinadi; Mandela kuna wakati alipewa deal na serikali ya makaburu ya kuachiwa huru na kupewa maisha mazuri ili mradi tu asijihusishe na harakati za ukombozi; hao wapigania ukombozi wenu akina Slaa leo wanapigania maisha yao utapigania ukombozi ukiwa ndani ya V8 na kiyoyozi ndani? kama si kutaka kudanganya watu ni kitu gani?
Chama
Gongo la mboto DSM
safarini Monga Vyeru
Jaribu kuelewa kilichoandikwa kabla ya kutoa povu
Chama
Gongo la mboto DSM
safarini Monga Vyeru
Dalili zinaonyesha chama kilichoonyesha upinzani mkubwa katika uhaguzi 2010 kimefikia haali mbay ksiasa kiasi ambacho uongozi wa chama umebaki wa wachache wateule. Hii imethibitisha maneno yangu huko nyuma kuwa CDM ni tunda la msimu ambalo halitatua mahitaji ya muda mrefu.
Chadema kinazidi kuzugukwa na migogoro siku hadi siku, maeneo yote ya Tanzania wanakiponda hiki chama kwa vile kinaendeshwa kwa misingi ya ukana, ukabila na undugu.
Nakitabiria hiki chama hakifika mwaka 2105