SHEMGUNGA
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 667
- 149
duuuu weweee hivii unaakili au umetumwaaa unasemaa mwaka 2105 weee mwenyewe utafikaaa mwambieee nepiii arudiii tenaaaa maaana naona ameshapotezaaa njiaaaDalili zinaonyesha chama kilichoonyesha upinzani mkubwa katika uhaguzi 2010 kimefikia haali mbay ksiasa kiasi ambacho uongozi wa chama umebaki wa wachache wateule. Hii imethibitisha maneno yangu huko nyuma kuwa CDM ni tunda la msimu ambalo halitatua mahitaji ya muda mrefu.
Chadema kinazidi kuzugukwa na migogoro siku hadi siku, maeneo yote ya Tanzania wanakiponda hiki chama kwa vile kinaendeshwa kwa misingi ya ukana, ukabila na undugu.
Nakit
abiria hiki chama hakifika mwaka 2105