Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,840
- 4,806
China pekee yake wako wangapi?
Dunia ina watu zaidi ya Bilioni saba! Bado tu haijajaa?
Dunia ina watu zaidi ya Bilioni saba! Bado tu haijajaa?
Maskini starehe yake ni ngono zembe,ajabu wanazaa watoto wengi halafu hawajui hata matibabu wala elimu za hao watoto itakuwaje.Wanaishia kusumbua ndugu kwenye ukoo kusaidia,ajabu sana hii.Mtu azae watoto atakaowamudu.
Watano
Idadi ya watu haihesabiwi kwa moja mbili tatu. bali nikwa mtu mmoja kwa mita ngapi za mraba. hebu tujiulize. hebu tujiulize mtu mmoja anahitahi heka ngapi kwa kuendesha maisha yake ya kila sikuUnajua marekani wapo watu wangapi?
China wapo watu wangapi?
ACHENI KUJIDANGANYA.
Tanzania hamna watu.
Mil 55 mnajiona mpo wengi?
haujajibu swali. Una jua wamarekani na wachina wapo wangapi?Idadi ya watu haihesabiwi kwa moja mbili tatu. bali nikwa mtu mmoja kwa mita ngapi za mraba. hebu tujiulize. hebu tujiulize mtu mmoja anahitahi heka ngapi kwa kuendesha maisha yake ya kila siku
Mchana mwema nduguhaujajibu swali. Una jua wamarekani na wachina wapo wangapi?
Mapori yote haya huyaoni mkuu! Chupa ya chai tu ndo inaweza kujaaDunia ina watu zaidi ya Bilioni saba! Bado tu haijajaa?
Tanzania hatuna maeneo ya kutosha. Tungekuwa na maeneo ya kutosha, Wakulima na wafugaji wasingekuwa wanapigana na kuuana wakigombania maeneo...Mapori yote haya huyaoni mkuu! Chupa ya chai tu ndo inaweza kujaa
Mkuu usiwafuate hao wenye nchi tajiri, hao tayarl washazaa na kujaza nxhi zao, utalinganisha idadi ya watu hapa Tanzania na hizo nchi tajiri?Dunia ina watu zaidi ya Bilioni saba! Bado tu haijajaa?
Hii kitu haina cha kabila Afrika yote ukikuta jamii ya watu masikini wanazaliana sana kwanini unakuta mtu ana watoto watano na wanapishana miaka miwili miwili why?

Kwasababu tunapenda watoto wanatupa faraja. Na awamu hii tumeambiwa tufyatue tu watasoma bure.Hii kitu haina cha kabila Afrika yote ukikuta jamii ya watu masikini wanazaliana sana kwanini unakuta mtu ana watoto watano na wanapishana miaka miwili miwili why?