Masikini tunaongoza kwa kuzaana!

Masikini tunaongoza kwa kuzaana!

Hapana. Kuhasiwa ni kuondolewa uwezo wa kumrutubisha mwanamke ili ashike mimba. Ukihasiwa mashine inaendelea kufanya kazi ila unakuwa hutoi sperm.
Sijaelewa hapo, nakuwa sitoi sperm inamaana nakuwa simwagi/sikojoi sasa raha nitaihisi vip
 
Acha tutimize kusudio la mungu kuujaza ulimwengu. Tutaendelea kuporomosha tu watoto wa kutosha kama Rais wetu jiwe alivyotuagiza. Hizo ni janja za mabeberu tu

Maendeleo hayana chama
Kusudio la MUNGU halikua kwa mwanadamu Bali lilikua kwa ADAM, na Tena MUNGU kamuamrisha Adam wakati dunia ilikua haina watu, kwa leo hii MUNGU angekua anatoa matamko yake Kama zamani MUNGU angewakemea hawa watu wanaochochea wananchi wafyatuwe watoto bila mpango
 
china my foot. wale jamaa ni magenious waapo wengi na akili ni nyingi ndio maana hawana umaskini ndio maana wanauwezo, hapa bongo mnafyetua elimu zero mwishowe watoto wanakuwa machokoraa
Nchi ni tajiri lakini raia wake masikini bado
Ndio mana baadhi hukimbilia bongo kuja kuwa mpaka machinga. Sisi ndo kwanza 55mil. Acha tufyatue mkuu labda katika population inayokuja tutawazaa hao mageneous
 
Kusudio la MUNGU halikua kwa mwanadamu Bali lilikua kwa ADAM, na Tena MUNGU kamuamrisha Adam wakati dunia ilikua haina watu, kwa leo hii MUNGU angekua anatoa matamko yake Kama zamani MUNGU angewakemea hawa watu wanaochochea wananchi wafyatuwe watoto bila mpango
Hahaha lakini mkuu watoto ni u tajiri
You never know unaweza bahatisha
Bharesa mmoja kwa vichwa utavyofyatua

Ukiwa na mmoja ama wawili huoni una punguza iyo bahati niliyoitaja apo.
 
Wale Wanategemea Mnazi Mmoja Ndiyo Uwaze Kupanga Uzazi Na Saa Nyingine Hata Uzazi Wenyewe Utagoma
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania

😁😀😀😂😂🤣
 
mtu azae kadri awezavyo kufunga uzazi ni mpango wa nchi zilizoendelea, kwetu tuna kila rasilimali na ardhi yenye rutuba, ni kazi na kuzaa tuu we funga sisi ngoja tutimize alosema Mungu
 
Back
Top Bottom