ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,711
- 5,641
kwa sababu masikini wana nyege sana, thats why
Kwasababu tunapenda watoto wanatupa faraja. Na awamu hii tumeambiwa tufyatue tu watasoma bure.
Umejua kunichekeshaNi kwasababu hawana starehe nyingine yoyote zaidi ya kudinyana tu.
Wamjini utasikia nimechoka na kaziWana mapenzi ya kweli na hawachokani hivyo kila wakati wanatamaniana na matokeo ndio hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
eti wana nyege sana na starehe kubwa ni kudinyana unakuta mtu aelewi bora ale mzigo tuuuHawafikirii maisha ya kesho yatakuaje, na ndio kitu kilichowapelekea kuwa masikini in the first place
Kuzaliwa familia ya masikini halafu uje kuwa tajiri inatokea mara chache sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe Fanya mpango tufyatue.Kwasababu tunapenda watoto wanatupa faraja. Na awamu hii tumeambiwa tufyatue tu watasoma bure.
DuuuuNi kwasababu hawana starehe nyingine yoyote zaidi ya kudinyana tu.
Nadhan mleta mada hajakuzudia wingi wa watu nchini but amezungumzia namba ya watoto ndani ya familia moja moja.mnapozungumzia masikini sijui mna maana gani . hivi na wamarekani nao ni masikini?
Wachina nao ni masikini?
Mbona wapo wengi sanaa . kuliko sisi?
Lakini hatuwasemi kuwa ni masikini ndo maana wanazaliana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu haina cha kabila Afrika yote ukikuta jamii ya watu masikini wanazaliana sana kwanini unakuta mtu ana watoto watano na wanapishana miaka miwili miwili. Why?