Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,543
haha ni wewe tuSababu ni ipi unapenda nikuzalie Wangapi au mayai yote nifyatue haina tatizo
haha ni wewe tuSababu ni ipi unapenda nikuzalie Wangapi au mayai yote nifyatue haina tatizo
Umeolewa? Mpaka saivi unao wangapNilipo andika nitazaa wote namaanisha nitawahudumia mahitaji yote Kuna tatizo mkuu
Sawahaha ni wewe tu
Unaweza kutofautisha sperm na semen kwa wakt mmoja kwa kuziangalia kwa macho na ukagundua hii ni semen na hii ni sperm?Nadhani utakuwa unatoa semen ambazo hazina sperm... Yale maji maji yatatoka ila yatakuwa hayana mbegu.
Yes nimeolewa,Ninao wawiliUmeolewa? Mpaka saivi unao wangap
Maskini starehe yake ni ngono zembe,ajabu wanazaa watoto wengi halafu hawajui hata matibabu wala elimu za hao watoto itakuwaje.Wanaishia kusumbua ndugu kwenye ukoo kusaidia,ajabu sana hii.Mtu azae watoto atakaowamudu.asset ya masikini ni watoto,
Hapana. Kuhasiwa ni kuondolewa uwezo wa kumrutubisha mwanamke ili ashike mimba. Ukihasiwa mashine inaendelea kufanya kazi ila unakuwa hutoi sperm.
Aha hapo sawa, ila me navyoona wanawake wanashindwa kufunga uzazi kwasababu nyingi, moja wapo nikutoaminiana namwanaume aliyenae. Ishawahi kusikia wanawake wakiongelea hayo kuwa unafunga uzazi alafu unaachwa, unapata libaba linapesa alafu linamuomba alizalie alafu mda huo alishafunga kizazi inakuwa kapoteza bahati. Kingine niimani potofu, mwanamke anawaza vipi akiwa nawatoto wachache anawaza katika hao wachache kuna mgawanyo hapo kuna mwingine atakuwa chizi, kuna wengine watakufa, nakuna wengine watashikwa nawenza wao nakutowasikiliza wazazi. So hapo jibu anapata nibora azae sana nabaada yamgawanyo wote huo nayeye anabaki nahata nammoja. Uswahili kuna mambo..Kukojoa unakojoa. Ila unachokitoa kinakosa uwezo wa kumrutubisha mwanamke.
Starehe yetu ni nini sasa? Hatuendi Dubai au visiwa vya mbali for vacation. Vacation tunayo kila sikuChek data hapa!
Idadi ya watoto kwa mwanamke mmoja nchi Afrika iko kwenye wastani wa watoto wanne wakati nchi tajiri ni chini ya wastani wa watoto wawili...
Panga uzazi wewe na mwenzi wako kwa ustawi wa mji wako!
Umenena vizuri mkuu watu ni rasimali ya kwanza; alafu Tena kama sisi Tanzania bado sana. Wenzetu wamejenga chini, underground mpaka hewani sisi chini tu hatujapamaliza.Hivi China ingekuwa na raia milioni 50 ingekuwa na uchumi ilionao sasa? Watu ni rasilimali ya kwanza ktk taifa lolote linalokua na lililokwisha kukua.
karibu 45% ya idadi ya watu ni chini ya miaka 15.

Kweli kabisa nchi za wenzetu watoto ni wawili tu.
Zaa tu shost ila usisumbue ndugu hahahah.Mie nilishakataa kubeba mizigo ya kulea watoto wa ndugu napambana na wangu.Mwingine hata kipato cha uhakika hana ila kuzaa sasa,wanatesa tu watoto.Mtu anakuwa akimlaumu Mungu kwanini alizaliwa.Ndio starehe kubwa ya masikini hiyo,.kila siku anapiga mashine ataacha kuzaa kama nyau...na hakuna cha kufuata nyota ya kijani wala nn..ni dry tuu siku zote...
Ila mm nnavyopenda watotontazaa asee mpaka leba ikiniona ihame
![]()
Ndioo niko kuwafungulia account jomoniii stakki kumsumbua binadamu...undugu lawama akuu ntapambana na wanangu kufa kupona labda nitwaliwe mapema...Zaa tu shost ila usisumbue ndugu hahahah.Mie nilishakataa kubeba mizigo ya kulea watoto wa ndugu napambana na wangu.Mwingine hata kipato cha uhakika hana ila kuzaa sasa,wanatesa tu watoto.Mtu anakuwa akimlaumu Mungu kwanini alizaliwa.
Ukishazaaa watoto wanaokutosha, mshauri mkeo afunge uzazi...
Acha tutimize kusudio la mungu kuujaza ulimwengu. Tutaendelea kuporomosha tu watoto wa kutosha kama Rais wetu jiwe alivyotuagiza. Hizo ni janja za mabeberu tu
Maendeleo hayana chama