Masikini, Mrema!

Masikini, Mrema!

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1455771320.122445.jpg
 
Magufuli amkumbuke maana alimuombea kura kwenye Jimbo la Vunjo.
 
Huyu mzee anaumwa aisee....

Duc in Altum
 
Mbona yuko sawa aisee hivi unajua watu wa kuonea huruma wewe au umeamua kubwabwaja.
 
duuu nadhani ulikuwa nje ya bunge anategea wabunge kuomba walau wampe sehemu ya posho
 
mh JPM alimuahidi kumpa uongozi wakati wa kampeni kwa sbb ya uchapakazi wake.
 
Mimi huwa natamani nione anapovua hiyo kofia huwa anafananaje.
 
hahahaha apo anapiga simu lumumba ila number not reachable....cc toilet paper
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom