Masikini Mange Kimambi

Masikini Mange Kimambi

Ndo maana akiongea anataka kulia anajua kitakacho tokea
 
Yaani unaona ni aibu mtu kukataa kufa kizembe kwa sababu za kipumbavu? No wonder maisha yako ni kufwata mkumbo bila kujiuliza.

Cha pili sikushangaa sana uliponitukana matusi yale ya ajabu moja kwa moja. Sababu kitu kimtokacho mtu ni kioo cha uhalisia wake. Uhalisa wako niliougundua ni kwamba wewe ni faggot, ni shoga anayejificha nyuma ya panzia. Hizi hapa ni comments zako ukitetea mashoga. Ukilinganisha uzi wako wa kwanza ni kuhusu haki za mahoga marekani. I'm deeply disgusted to even write this. Siwapendi kabisa nyie wadudu.

View attachment 3494910View attachment 3494911View attachment 3494912View attachment 3494913View attachment 3494914View attachment 3494915View attachment 3494916View attachment 3494917

What a pathetic, disgusting creature.
Kawaida ya weak ass man like you , na acha kutumia mashoga ili uonekane mwanaume lijali kumbe soft ass tuu ambaye ukisikia maandamano unajificha uvunguni , wanaume wa kweli wanatetea wanaonewa kwenye jamii , sina shida na mashoga na sina chuki nao na nitaendelea kuwatetea, haki ni haki haijali kabila, rangi, ushoga, Taifa, umaskini etc
 
Yaani unaona ni aibu mtu kukataa kufa kizembe kwa sababu za kipumbavu? No wonder maisha yako ni kufwata mkumbo bila kujiuliza.

Cha pili sikushangaa sana uliponitukana matusi yale ya ajabu moja kwa moja. Sababu kitu kimtokacho mtu ni kioo cha uhalisia wake. Uhalisa wako niliougundua ni kwamba wewe ni faggot, ni shoga anayejificha nyuma ya panzia. Hizi hapa ni comments zako ukitetea mashoga. Ukilinganisha uzi wako wa kwanza ni kuhusu haki za mahoga marekani. I'm deeply disgusted to even write this. Siwapendi kabisa nyie wadudu.

View attachment 3494910View attachment 3494911View attachment 3494912View attachment 3494913View attachment 3494914View attachment 3494915View attachment 3494916View attachment 3494917

What a pathetic, disgusting creature.
Mazafaka unatumia ChatGPT iliyogunduliwa na kumilikiwa na mashoga to summarize pumba zako ili uonekane una akili, acha ujinga
 
Don't play mind games with me man, utaishia kujiexpose bure na kujiuza, sababu kama ulivyosema "nitachimba" bila kujua na nitakujua nje ndani. But you won't beat me at it, I enjoy the game. Not to brag, but I'm just too good.

Attempt leaving the last word at your own risk. This is incredibly fun.
Sikujua kumbe wewe ni kei?
 
Kama ni huruma wahurumie watanzania. Mangi sio maskini kama wengi waliopo nchini. Yeye ni mtanzania anayechukuzwa na haya yanayotokea na kuendelea hapa nchini.

Kama wewe unafurahishwa na hali tulionayo hongera lakini kwa vyovyote iwavyo lazima tubadilishe hii hali
mange yupo sawa ila changamoto, anaowapambania
 
Ah yes, nilivyoona tu comment yako niliexpect kwa asilimia 100 lazima utaniquote.

Mimi siuzi uoga, bali nagawa uhalisia kwa moyo wa huruma. Kubadilisha uongozi kwa nguvu, hata wakifanikiwa, hakutobadilisha maisha ya kila mtu immediately au inaweza isitokee kabisa. Wa chini watabaki chini, ikiwemo wewe. Watakaofaidika ni walio kwenye nafasi husika pekee. Hivyo mwananchi wa kawaida hana sababu yoyote kwa sasa ya kwenda kujiharibia kidogo alichonacho.

Kinachokutofautisha wewe na masikini wa chini kabisa ni delusion na naivety.
Itoshe tu kusema :"Mkaa wa mawe" wewe ni Nishati bora, safi na nzuri ya kupikia ya Mama Samia
 
Namuhurumia sana Mange Kimambi kwa aibu atakayopata kutoka kwa Watanzania.

Binafsi natamani maandamano ya amani yawepo reforms zifanyike kusudi huko kupiga kura kuwe na maana kuliko maigizo haya ya kila siku ya kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana tayari.

Kwa nguvu alizotumia Mange Kimambi nasikitika kusema watanzania wata mdisappoint na hatokaa aamini macho yake.

Kwa hali ilivyo huku uraiani hakuna mwenye nia ya kuandamana na ila kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao watapiga kura.

Asilimia zaidi ya 70 tumeshakubaliana na hali ,na hiyo siku watu tutaichukulia kama zilivyo siku nyingine, hatupigi kura ila kuhusu kuandamana itategemea pia japo si rahisi kufanyika.

Nikikumbuka maandamano ya UKUTA yalivyotikisa kipindi kile na hakuna Mtanzania hata mmoja aliyejitokeza kuandamana licha ya kujazana upepo wa kuandamana ninadhani hata hii tarehe 29 mambo yatakuwa ni yaleyale.

Watu hatuwazi kabisa kuhusu uchaguzi kila mmoja yupo busy na shughuli yake na hatuna habari kabisa kuhusu huo uchaguzi feki.

Pole sana Mange, watanzania sisi ni kama kenge hatusikii mpaka damu zitutoke masikioni .

Kwani ya kwako ni kutamani tu maandamano yawepo huku wewe ukiwa wapi? Loooh!
 
Mange amepambana sana kutuhabarisha mambo mbalimbali haswa mambo ya ufisadi uliopitiliza kwenye hii nchi, lakini watanzania uoga haujatutoka bado.

Juhudi za Mange ni sawa na bure.
Mange mwenyewe sasa, huku anawahamsisha muamdamane, yeye California anauza uchi
Screenshot_20251014_110615_Facebook.jpg
 
Hii ni vita, usipotoka bado kina Fwele watakuja kukuteka, kabla ya kuua wana kufir@@ kwanza. Bora utoke kama kufa ufe ukisaka haki ya vizazi vijavyo, usijiangalie wewe ( angalia walio nyuma yako )

Seran mda wetu umefika boss wangu
 
Baada ya kesho Mange atatukana sana. Mange hana uhalali wa kuamrisha watu waandamane. Itakuwa utaahira kukubali kushiriki maandamano yanayoratibiwa na Mange kwa kushirikiana na Maria, Aunty Lulu na mwanaume aliyebadili jinsia Dayon Monsoh.
 
Wewe ni jamaa yangu humu JF nakukubali sana ila umejaa waswasi na hofu sana aisee. Hakuna aliye salama. Jiangalie kwenye kioo na ujiulize siku wafiraji, wabakaji wakikuchukua au kumchukua mtu wa karibu yako utakaa kimya tu au utapambana hadi tone lako la mwisho la damu?

Kama ukiogopa na kujawa na hofu basi utambue tumekubali kufirwa na kufanyiwa ukatili.
 
Mtanzania average ambaye ni part of the majority asiyejua kesho anakula nini. Atajiona na atakuwa ni mpuuzi mkubwa duniani kwa kusikiliza maneno ya kidada kinacholia kitanda size ya chumba chake, kinakula na kulala hoteli zenye bei kuzidi budget yake ya mwaka mzima. Kwamba atoke akaandamane, ahatarishe afya na maisha yake kisa kidada hicho kutoka mtandaoni kimesema hivyo.
Kwahiyo ukikaa kimya ndo hutekwi wala hufi?
Hii nchi tuna matahira wengi pity 😥
 
Baada ya kesho Mange atatukana sana. Mange hana uhalali wa kuamrisha watu waandamane. Itakuwa utaahira kukubali kushiriki maandamano yanayoratibiwa na Mange kwa kushirikiana na Maria, Aunty Lulu na mwanaume aliyebadili jinsia Dayon Monsoh.
Hawa hapa;-
Screenshot_20251014_122306_Facebook.jpg

Screenshot_20251028_090340_Google.jpg
 
Back
Top Bottom